• Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mafia District Council
Mafia District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Ardhi, Mipango miji na Maliasili
      • Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
        • Kitengo cha Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi na Zima Mmoto
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango na Takwimu
    • Vitengo
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Tehama
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Huduma za jamii
      • Maadili
      • Fedha, Utawala, na Mipango
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Kujua Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
      • YOUTUBE
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MAADHIMISHO YA SIKU YA KIMATAIFA YA WANAWAKE WILAYANI MAFIA

Posted on: March 8th, 2025

Wanawake wilayani Mafia, leo Machi 06, 2025 wamefanya kongamano lililowakutanisha kutoka taasisi mbalimbali za Serikali ,  zisizo za kiserikali na katika jamii ikiwa ni siku moja kabla ya kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Wanawake. 

Mgeni rasmi katika kongamano hilo ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Mafia Mhe. Aziza Mangosongo, ametumia fursa hiyo kutoa wito kwa wanawake kujitokeza kugombea nafasi za uongozi pamoja na kushiriki uchaguzi mkuu mwaka huu 2025.

Aidha, amewataka wanawake wilayani Mafia kushirikiana hasa katika masuala ya kiuchumi kwa kuungana mkono.

" Tusaidiane, kama mwanamke ana biashara yoyote, sisi wanawake inabidi tuwe wa kwanza kwenda kumuunga mkono kwenye biashara yake. Maana kama lilivyo lengo la leo, ni kukumbushana na kuinuana kifikra, kiuchumi na kijamii na kupeana mikakati ya jinsi ya kuvuka salama" alieleza Mhe. Mangosongo.

Pamoja na mambo mengi ya msingi aliyosisitiza, amewataka wanawake kuwa mstari wa mbele kupambana dhidi ya ukatili wa kijinsia kwenye familia na jamii kwa ujumla na kusimamia malezi ya watoto na kuwapa elimu bora ili waje kunufaisha Taifa.

Kauli mbiu ya Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake kwa mwaka huu ni " Wanawake na Wasichana 2025 Tuimarishe Haki, Usawa na Uwezeshaji"

Matangazo

  • TANGAZO: KUITWA KWENYE USAILI (UCHAGUZI MKUU 2025) October 05, 2025
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • SIKU YA PAPA POTWE DUNIANI; JAMII YAASWA KUWAJIBIKA KUTUNZA MAZINGIRA

    August 30, 2025
  • KOFIH YAKABIDHI JENGO LA MAMA NA MTOTO KWA HALMASHAURI

    August 28, 2025
  • JAMII KUSHIRIKIANA NA WATAALAM KUREJESHA MSITU WA MLOLA

    August 26, 2025
  • WASIMAMIZI WA MIRADI WATAKIWA KUONGEZA UFANISI KATIKA UTEKELEZAJI

    August 22, 2025
  • Tazama zote

Video

USIKOSE KUWA SEHEMU YA TUKIO HILI MUHIMU KIHISTORIA
Tazama Video zaidi

Viungo vya haraka

  • Home
  • Photo Gallery
  • FAQ
  • Tourism
  • Investment
  • MATOKEO YA STD VII 2022

Viungo vinavyohusiana

  • OR- TAMISEMI
  • OR- Menejimenti Utumishi wa Umma
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya ajira katika Utumishi wa Umma
  • Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi
  • Wizara ya Fedha na Mipango

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kilindoni-Bomani Street

    Anuani ya posta: 85

    Simu: 0232010199

    Simu ya mkononi:

    Baruapepe: ded.mafia@pwani.go.tz / ded@mafiadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Katazo
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma namba 1
    • YOUTUBE

Copyright ©2017 Mafia District Council . All rights reserved.