• Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mafia District Council
Mafia District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Ardhi, Mipango miji na Maliasili
      • Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
        • Kitengo cha Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi na Zima Mmoto
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango na Takwimu
    • Vitengo
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Tehama
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Huduma za jamii
      • Maadili
      • Fedha, Utawala, na Mipango
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Kujua Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
      • YOUTUBE
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MAONESHO YA BIASHARA NA UWEKEZAJI MKOANI PWANI YAPANDISHWA HADHI

Posted on: December 17th, 2024

Waziri wa Viwanda na Biashara Dkt. Selemani Jafo ametoa maagizo kwa Katibu wa Wizara ya Viwanda na Biashara kuhakikisha kuwa maonesho ya Biashara na Uwekezaji yanakuwa maonesho ya kitaifa kwa Wizara kushirikiana na mkoa wa Pwani kuandaa maonesho hayo kila mwaka.

Dkt. Jafo ametoa maagizo hayo leo Desemba 17, 2024 wakati akifungua maonesho ya Biashara, Viwanda na Uwekezaji yanayofanyika Kibaha mkoani Pwani.

Aidha, ametoa rai kwa Watanzania kupenda bidhaa zinazozalishwa nchini ili kusaidia kukuza sekta ya uwekezaji, pamoja na kuzitaka taasisi zinazojihusisha na masuala ya biashara na uwekezaji kuhakikisha zinaweka jitihada kwa kuwa wawezeshaji badala ya kukwamisha.

Kwa upande wake, Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhe. Abubakar Kunenge ameeleza kuwa mkoa unatarajia kuongeza viwanda kwa asilimia 30 ili kuendelea kuchangia kukuza zaidi sekta ya uwekezaji nchini.

Mkoa wa Pwani una jumla ya viwanda 1533, ambapo zaidi ya viwanda vipya 131 vimejengwa  kwa kipindi cha miaka minne. 

Matangazo

  • TANGAZO: MATOKEO YA USAILI KWA KAZI ZA MKATABA KWA NAFASI ZA UDEREVA NA UHUDUMU WA OFISI May 20, 2025
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • DC MANGOSONGO AWAPOKEA WASHINDI WA UMISSETA NGAZI YA MKOA

    June 06, 2025
  • WANANCHI WILAYANI MAFIA WAASWA KUTUNZA MAZINGIRA KUKABILIANA NA MABADILIKO YA TABIANCHI

    May 31, 2025
  • UKOSEFU WA ELIMU MIONGONI MWA VYANZO ZINAVYOSABABISHA VIFO VYA WAZAZI NA WATOTO

    May 29, 2025
  • MRADI WA KUTUNZA MSITU WA MLOLA WAWAZINDULIWA RASMI WILAYANI MAFIA

    May 26, 2025
  • Tazama zote

Video

MWENGE WA UHURU WAPONGEZA VIWANGO VYA BARABARA YA MSUFINI
Tazama Video zaidi

Viungo vya haraka

  • Home
  • Photo Gallery
  • FAQ
  • Tourism
  • Investment
  • MATOKEO YA STD VII 2022

Viungo vinavyohusiana

  • OR- TAMISEMI
  • OR- Menejimenti Utumishi wa Umma
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya ajira katika Utumishi wa Umma
  • Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi
  • Wizara ya Fedha na Mipango

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kilindoni-Bomani Street

    Anuani ya posta: 85

    Simu: 0232010199

    Simu ya mkononi:

    Baruapepe: ded.mafia@pwani.go.tz / ded@mafiadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Katazo
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma namba 1
    • YOUTUBE

Copyright ©2017 Mafia District Council . All rights reserved.