• Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mafia District Council
Mafia District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Ardhi, Mipango miji na Maliasili
      • Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
        • Kitengo cha Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi na Zima Mmoto
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango na Takwimu
    • Vitengo
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Tehama
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Huduma za jamii
      • Maadili
      • Fedha, Utawala, na Mipango
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Kujua Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
      • YOUTUBE
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

ULEMAVU SI KUTOKUWA NA UWEZO

Posted on: August 18th, 2023

Elimu bora ni haki ya msingi kwa kila mwanafunzi, bila kujali hali aliyonayo.


Abdul Hassan Ulongo (15) mwanafunzi wa kidato cha kwanza katika shule ya Sekondari ya Kilindoni wilayani Mafia, alishindwa kufika shuleni kwa miezi sita kutokana na kushindwa kutembea kwenda shuleni kwa sababu ya hali yake ya ulemavu aliyokuwa nayo.

" Nimeshindwa kufika shule tangu mwezi wa pili mwaka huu kwa sababu nimekuwa nikishindwa kutembea na ninaishi mbali na shule" alisema Abdul, mwanafunzi mwenye ulemavu.

Kwa kutambua changamoto yake, ofisi ya Mkuu wa Wilaya pamoja na Halmashauri kupitia Idara ya Elimu ilifanya jitihada kubwa kwa kushirikiana na uongozi wa shule kumpatia Kitimwendo (Wheelchair) pamoja na mahitaji mengine ya shule kama madaftari, Kalamu, sare na chakula awapo shuleni.


" Tunahitaji ushirikiano kutoka kwenu katika kumsaidia Abdul awapo shuleni kwa kumuonesha upendo. Abdul asaidiwe kufika shule na kumrudisha nyumbani baada ya masomo" alisema Katibu Tawala wa Wilaya ya Mafia, Olivanus Thomas aliyemuwakilisha Mkuu wa Wilaya Mhe. Zephania Sumaye, alipokuwa akiongea na wanafunzi wa Sekondari ya Kilindoni.


 "Tunafanya utaratibu ili ahamishiwe kwenye shule ya bweni ya watu wenye uhitaji maalum" alieleza ndugu Olivanus.


Mara nyingi wanafunzi wenye matatizo mbalimbali kwenye jamii yetu hushindwa kuhudhuria shuleni kutokana na changamoto mbalimbali, hali inayopelekea walimu na wanafunzi wenzao kuhusisha hali hiyo na utoro.

"Kama Kuna wanafunzi wenye matatizo kama haya mitaani na nyumbani, tuwasemee ili wapate haki zote kama afya na elimu maana ulemavu haumzuii mtu kufikia malengo yake" alisema Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia,  Mwl. Kassim Ndumbo.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KULIPIA VIWANJA May 20, 2025
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • WITO WATOLEWA KWA WATOTO WA KIKE KUPENDA MASOMO YA SAYANSI

    May 17, 2025
  • MAFIA KUUNGANISHWA NA UMEME WA GRIDI YA TAIFA

    May 16, 2025
  • WANANCHI WAASWA KUJITOKEZA KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 16, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LARIDHIA KUANZISHWA KWA MRADI WA UONGEZAJI THAMANI ZAO LA DAGAA

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

MWENGE WA UHURU WAPONGEZA VIWANGO VYA BARABARA YA MSUFINI
Tazama Video zaidi

Viungo vya haraka

  • Home
  • Photo Gallery
  • FAQ
  • Tourism
  • Investment
  • MATOKEO YA STD VII 2022

Viungo vinavyohusiana

  • OR- TAMISEMI
  • OR- Menejimenti Utumishi wa Umma
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya ajira katika Utumishi wa Umma
  • Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi
  • Wizara ya Fedha na Mipango

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kilindoni-Bomani Street

    Anuani ya posta: 85

    Simu: 0232010199

    Simu ya mkononi:

    Baruapepe: ded.mafia@pwani.go.tz / ded@mafiadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Katazo
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma namba 1
    • YOUTUBE

Copyright ©2017 Mafia District Council . All rights reserved.