• Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mafia District Council
Mafia District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Ardhi, Mipango miji na Maliasili
      • Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
        • Kitengo cha Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi na Zima Mmoto
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango na Takwimu
    • Vitengo
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Tehama
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Huduma za jamii
      • Maadili
      • Fedha, Utawala, na Mipango
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Kujua Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
      • YOUTUBE
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

UNESCO YAAHIDI SOKO LA UHAKIKA KATIKA ZAO LA MWANI

Posted on: March 4th, 2025

Wanawake wajasiriamali waliopo kisiwani Chole wilayani Mafia, wanatarajia kupata soko la kimataifa la zao la mwani kwa kutangaza bidhaa zitokanazo na zao hilo amabazo zitaongeza mnyororo wa thamani.

Hayo yamebainika wakati wa ziara ya Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) Bi. Audrey Azoulay aliyepotembelea Wilayani Machi 04, 2025 kwa lengo la kushuhudia shughuli mbalimbali zinazohusu uhifadhi wa mazingira na kuona jinsi ambavyo UNESCO inaweza kusaidia juhudi hizo.

" Tuna furaha kuwa hapa kwa sababu kisiwa cha Mafia ni miongoni mwa maeneo yaliyo katika uhifadhi na tunatarajia kuisaidia jamii katika shughuli zake za kimazingira kwa kufanya kazi na wakulima wa mwani, wavuvi na wadau mbalimbali wanaofanya kazi kutunza mikoko" alieleza Bi. Azoulay. Hivyo tunatambua changamoto zinazoikabili dunia katika uchafuzi wa mazingira" aliongeza.

Akielezea namna walivyovutiwa na shughuli za uongezaji wa thamani wa zao la mwani, Balozi wa Tanzania nchini Ufaransa Mhe. Ali Mwadini amefurahishwa na wanawake wajasiriamali kisiwani Chole na kuahidi kuwapa nafasi wajasiriamali hao kwa kuwapeleka wanawake watatu kwa niaba yao kutangaza bidhaa zao nchini Ufaransa ili kujitengenezea soko.

Wajasiriamali hao wamepongeza Serikali kwa jitihada hizo ambazo zitachangia uchumi endelevu kisiwani Mafia na kitaifa kwa ujumla.

" Tunatoa shukrani zetu za dhati kwa wageni wetu na Serikali waliofika kusikiliza kero za wajasiriamali na kutambua mafanikio yetu kwa ujumla, tunaamini shughuli zetu zitafanikiwa " alisema Mwabia Rajabu, Mkulima wa mwani kisiwani Chole.

Ukulima wa mwani pamoja shughuli nyingine kama uvuvi, zinafanikiwa kutokana na uhifadhi mzuri wa mazingira ambao unachangiwa na wadau mbalimbali kama Hifadhi ya Bahari Mafia ( HIBAMA), Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira ( NEMC), pamoja na jamii ambao ni wanufaika wakubwa wa mazao ya bahari.

" Tunawekeza na kuwezesha hifadhi hai ya maliasili kama njia mojawapo ya kuhifadhi maliasili ambapo wanajamii wanakuwa ni kipaumbele kusimamia maliasili wanazozitegemea, hivyo ujio wa Mkurugenzi Mkuu wa masuala haya ya bayoanuai ni mkubwa sana kwa nchi yetu na ni heshima kwa Wanamafia hasa katika masuala ya kulinda ikolojia na uchumi wa wanajamii wanaotegemea rasilimali hizi" alieleza Dkt. Immaculate Sware Semesi, Mkurugenzi Mkuu NEMC.

Kwa upande wake, Mkuu wa Wilaya ya Mafia Mhe. Aziza Mangosongo amemshukuru Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kumualika Mkurugenzi Mkuu wa UNESCO nchini Tanzania kwakuwa ujio wake umekuwa wa mafanikio na unaendeleza kuifungua Mafia katika Utalii, kuitangaza katika uchumi kwa kuwawezesha wajasiriamali kupata masoko , pamoja na kuendeleza shughuli za uvuvi endelevu ambavyo vyote kwa ujumla vitaipatia mapato Halmashauri.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUFUNGULIWA KWA DIRISHA LA UTOAJI WA MIKOPO May 02, 2025
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • MENEJIMENTI YA HALMASHAURI YASISITIZA USIMAMIZI MZURI WA MIRADI YA MAENDELEO

    April 23, 2025
  • TEKNOLOJIA MPYA KUONGEZA THAMANI ZAO LA DAGAA WILAYANI MAFIA

    April 16, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPONGEZA UBORA WA BARABARA KITONGOJI CHA MSUFINI

    April 08, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAWASILI WILAYANI MAFIA

    April 07, 2025
  • Tazama zote

Video

MWENGE WA UHURU WAPONGEZA VIWANGO VYA BARABARA YA MSUFINI
Tazama Video zaidi

Viungo vya haraka

  • Home
  • Photo Gallery
  • FAQ
  • Tourism
  • Investment
  • MATOKEO YA STD VII 2022

Viungo vinavyohusiana

  • OR- TAMISEMI
  • OR- Menejimenti Utumishi wa Umma
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya ajira katika Utumishi wa Umma
  • Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi
  • Wizara ya Fedha na Mipango

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kilindoni-Bomani Street

    Anuani ya posta: 85

    Simu: 0232010199

    Simu ya mkononi:

    Baruapepe: ded.mafia@pwani.go.tz / ded@mafiadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Katazo
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma namba 1
    • YOUTUBE

Copyright ©2017 Mafia District Council . All rights reserved.