• Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mafia District Council
Mafia District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Ardhi, Mipango miji na Maliasili
      • Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
        • Kitengo cha Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi na Zima Mmoto
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango na Takwimu
    • Vitengo
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Tehama
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Huduma za jamii
      • Maadili
      • Fedha, Utawala, na Mipango
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Kujua Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WAKAZI WA MAFIA KUNUFAIKA NA UCHUMI WA BULUU

Posted on: September 14th, 2023

Benki ya Maendeleo ya Kilimo (TADB) imelenga kuitekeleza dhana ya uchumi wa buluu wilayani Mafia kupitia mradi wake wa miaka mitano ambao utawawezesha kiuchumi wakazi wa wilaya hiyo.

Mradi huo utanufaisha vikundi nane vya kijasiriamali kwa kuwakabidhi mkopo wa boti nane zitakazotumika katika shughuli za kilimo cha mwani pamoja na uvuvi.

"Mkopo huu utawapa fursa wajasiriamali kutekeleza shughuli zao na watapata kipindi cha neema kwa miezi mitatu ya mwanzo kwa kutofanya marejesho. Ni malengo ya serikali kuona kuwa boti zitatumika kwa shughuli zilizokusudiwa" alisema Richard Sembindu, Afisa Biashara kutoka Benki ya Maendeleo ya Kilimo kanda ya Mashariki.

Kwa upande wake, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia, Mwl. Kassim Ndumbo, ameipongeza serikali kupitia wizara ya Mifugo na Uvuvi kwa kufika Mafia na kwa lengo la kuimarisha na kukuza uchumi kwa wilaya na wakazi wake kiujumla.

Matangazo

  • KIKAO CHA BARAZA LA MADIWANI August 16, 2023
  • BEST WISHES STANDARD 7 October 05, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI November 11, 2022
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2022 December 01, 2022
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • WAKAZI WA MAFIA KUNUFAIKA NA UCHUMI WA BULUU

    September 14, 2023
  • USHURU WA BANDARI WAPUNGUA KWA ASILIMIA 50

    September 10, 2023
  • JUMA LA ELIMU YA WATU WAZIMA LAADHIMISHWA WILAYANI MAFIA

    September 08, 2023
  • MAFIA YAHAKIKISHIWA MAJI SAFI NA SALAMA:

    August 26, 2023
  • Tazama zote

Video

Mafia yatakiwa kuimarisha ulinzi dhidi ya uvuvi haramu
Tazama Video zaidi

Viungo vya haraka

  • Home
  • Photo Gallery
  • FAQ
  • Tourism
  • Investment
  • MATOKEO YA STD VII 2022

Viungo vinavyohusiana

  • OR- TAMISEMI
  • OR- Menejimenti Utumishi wa Umma
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya ajira katika Utumishi wa Umma
  • Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi
  • Wizara ya Fedha na Mipango

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kilindoni-Bomani Street

    Anuani ya posta: 85

    Simu: 0232010199

    Simu ya mkononi:

    Baruapepe: ded.mafia@pwani.go.tz / ded@mafiadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Katazo
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma namba 1

Copyright ©2017 Mafia District Council . All rights reserved.