• Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mafia District Council
Mafia District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Ardhi, Mipango miji na Maliasili
      • Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
        • Kitengo cha Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi na Zima Mmoto
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango na Takwimu
    • Vitengo
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Tehama
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Huduma za jamii
      • Maadili
      • Fedha, Utawala, na Mipango
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Kujua Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
      • YOUTUBE
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WAKAZI WA BANJA KUNUFAIKA NA KISIWA CHA TEMBONYAMA

Posted on: August 27th, 2024

Kamati Ndogo ya Vyombo vya Ulinzi na Usalama Taifa, leo Agosti 27, 2024  imetembelea na kukagua kisiwa cha Tembonyama kilichopo kata ya Kirongwe, kijiji cha Banja kwa lengo la kujiridhisha na hali ya usalama kisiwani hapo kabla ya kuingia mikataba na mwekezaji.

Kamati hiyo inayoongozwa na Meja Jenerali Mbaraka Mkeremy ambaye ni Mwenyekiti, imefika baada ya uamuzi wa pamoja wa wanakijiji cha Banja kupitia Mkutano Mkuu wa kijiji hicho kuomba kutafutiwa mwekezaji ili kijiji kiweze kupata mapato.

Akizungumza na wanakijiji, Meja Jenerali Mkeremy amewataka viongozi wa Wilaya, Kijiji pamoja na wananchi kuzingatia hali ya usalama kisiwani hapo na kijiji kwa ujumla kabla na wakati wa kusainisha mkataba na mwekezaji atakayependekezwa pamoja na kujali maslahi ya wananchi.

" Suala la kwanza ni Ulinzi na Usalama, kama hakuna usalama hakuna kitakachoeleweka" alisisitiza. Walioturithisha nchi hii, waliturithisha ikiwa nzuri na salama, hivyo na sisi tuhakikishe tulichorithishwa tunarithisha na wengine" alisema Meja Jenerali Mkeremy.

Akisisitiza suala la usalama wa kisiwa hicho, Mkuu wa Wilaya ya Mafia Mhe. Aziza Mangosongo ameweka mkazo pia ulipaji mzuri wa kodi kwa Halmashauri ili mwekezaji atakayepatikana, aweze kuzingatia makubaliano na vigezo vyote ambavyo vinatakiwa na Wilaya na Taifa kwa ujumla kukwepa upoteaji wa mapato.

Kwa upande wao, wakazi wa Banja wameishukuru Serikali kwa hatua hiyo na kuahidi kutoa ushirikiano ili kuleta maendeleo katika sekta ya utalii wilayani.

" Kwa niaba ya wazee wa kijiji cha Banja, natoa shukrani nyingi kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na tumefurahishwa na wageni wetu, hivyo karubuni sana" alisema Mzee Mohammed Uledi.

Kisiwa cha Tembonyama kina ukubwa wa ekari 35 na kinatarajiwa kupata mwekezaji atakayeleta mchango mkubwa katika masuala ya utalii, ikiwa ni mwendelezo wa kuunga mkono juhudi za Serikali katika kukuza utalii nchini huku utunzaji wa mazingira ukipewa kipaumbele.

Shughuli mbalimbali zinazofanyika kisiwani hapo ni pamoja na uvuvi wa mazao ya bahari mfano uokotaji wa tondo, wananchi kuchuma mboga ya pwani, na uwindaji wa ndege.

Matangazo

  • TANGAZO: NAFASI ZA KAZI ZA MUDA; UCHAGUZI MKUU July 02, 2025
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • VETA YATOA MAFUNZO KWA MAMA LISHE ZAIDI YA 200 WA KATA YA KILINDONI

    June 17, 2025
  • JITIHADA ZIONGEZWE KUTOKOMEZA MALARIA

    June 17, 2025
  • MARUFUKU UTOAJI WA AJIRA KWA WATOTO; AONYA DC MANGOSONGO

    June 16, 2025
  • WANANCHI WAASWA KUJALI AFYA ZAO KUEPUKA MADHARA MAKUBWA YANAYOWEZA KUTOKEA

    June 14, 2025
  • Tazama zote

Video

Kisiwa cha Mafia ndani ya SGR
Tazama Video zaidi

Viungo vya haraka

  • Home
  • Photo Gallery
  • FAQ
  • Tourism
  • Investment
  • MATOKEO YA STD VII 2022

Viungo vinavyohusiana

  • OR- TAMISEMI
  • OR- Menejimenti Utumishi wa Umma
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya ajira katika Utumishi wa Umma
  • Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi
  • Wizara ya Fedha na Mipango

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kilindoni-Bomani Street

    Anuani ya posta: 85

    Simu: 0232010199

    Simu ya mkononi:

    Baruapepe: ded.mafia@pwani.go.tz / ded@mafiadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Katazo
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma namba 1
    • YOUTUBE

Copyright ©2017 Mafia District Council . All rights reserved.