• Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mafia District Council
Mafia District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Ardhi, Mipango miji na Maliasili
      • Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
        • Kitengo cha Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi na Zima Mmoto
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango na Takwimu
    • Vitengo
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Tehama
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Huduma za jamii
      • Maadili
      • Fedha, Utawala, na Mipango
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Kujua Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
      • YOUTUBE
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Historia

Utangulizi

Halmashauri ya Wilaya ya Mafia ni Miongoni mwa Wilaya tisa  (9) katika Mkoa wa Pwani iliyoanzishwa mwaka 1959. Wilaya zingine ni pamoja na Bagamoyo, Kibaha Mji,Kibaha, Chalinze, Kisarawe, Mkuranga, Kibiti na Rufiji. Kijiografia Wilaya ya Mafia ni mkusanyiko wa Visiwa vinane kwenye Bahari ya Hindi km 195 kusini mwa Jiji la Dar es Salaam. Visiwa hivyo ni Mafia (kisiwa kikuu), Jibondo, Mbarakuni, Shungimbili, Nyororo, Juani, Bwejuu na Chole. Visiwa vya Mbarakuni, Shungimbili na Nyororo ni vya makazi ya muda tu ya wavuvi. Kisiwa cha mafia kinapatikana kati ya longitudi 39°E – 40°E na latitude 7.38oS.


Eneo na Mipaka

Wilaya ya Mafia ina jumla ya kilometa za mraba 972, kati ya hizo kilometa za mraba 407 ni nchi kavu na 565 ni eneo la maji ya Bahari ya Hindi. Wilaya ya Mafia imepakana na Wilaya za Mkuranga- upande wa kaskazini, Rufiji na Kilwa –upande wa Kusini Magharibi na Bahari ya Hindi- upande wa kusini Mashariki.


Eneo la Utawala

Wilaya ya Mafia ilianzishwa mwaka 1959, ina Tarafa mbili (Kaskazini na Kusini), Kata 8, Vijiji vilivyosajiliwa 23 na Vitongoji 136. Wilaya ya Mafia ina Jimbo moja la Uchaguzi.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUFUNGULIWA KWA DIRISHA LA UTOAJI WA MIKOPO May 02, 2025
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • VIONGOZI WA DINI NA ASASI ZA KIRAIA WAASWA KUHAMASISHA JAMII KUSHIRIKI UCHAGUZI MKUU

    May 09, 2025
  • MAADHIMISHO YA MEI MOSI WILAYANI MAFIA; WATUMISHI WAASWA KUCHAPA KAZI KWA KUZINGATIA WELEDI

    May 01, 2025
  • WADAU WADHAMIRIA KUONGEZA THAMANI ZAO LA MWANI

    April 30, 2025
  • MAFIA YAADHIMISHA KILELE CHA WIKI YA CHANJO

    April 30, 2025
  • Tazama zote

Video

MWENGE WA UHURU WAPONGEZA VIWANGO VYA BARABARA YA MSUFINI
Tazama Video zaidi

Viungo vya haraka

  • Home
  • Photo Gallery
  • FAQ
  • Tourism
  • Investment
  • MATOKEO YA STD VII 2022

Viungo vinavyohusiana

  • OR- TAMISEMI
  • OR- Menejimenti Utumishi wa Umma
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya ajira katika Utumishi wa Umma
  • Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi
  • Wizara ya Fedha na Mipango

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kilindoni-Bomani Street

    Anuani ya posta: 85

    Simu: 0232010199

    Simu ya mkononi:

    Baruapepe: ded.mafia@pwani.go.tz / ded@mafiadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Katazo
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma namba 1
    • YOUTUBE

Copyright ©2017 Mafia District Council . All rights reserved.