• Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mafia District Council
Mafia District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Ardhi, Mipango miji na Maliasili
      • Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
        • Kitengo cha Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi na Zima Mmoto
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango na Takwimu
    • Vitengo
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Tehama
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Huduma za jamii
      • Maadili
      • Fedha, Utawala, na Mipango
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Kujua Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
      • YOUTUBE
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Inayoendelea

MIRADI INAYOTEKELEZWA NA HALMASHAURI.

Mradi wa ujenzi wa soko hilo unaotekelezwa kwa mapato ya ndani ya Halmashauri ulitengewa fedha kiasi cha Shilingi Milioni 200 kwa kipindi cha mwaka 2022/2023. 

Kwa mwaka huu wa fedha 2023/2024, kiasi cha Shilingi Milioni 124.9 kimetengwa kwa ajili ya kuendeleza ujenzi.

Soko kuu la Kilindoni litakuwa na upekee wa aina yake kutokana na sababu zifuatazo:

- Linafikika vizuri kutokana na uwepo wa barabara.

-Lipo karibu na uwanja wa ndege wa Wilaya pamoja na bandari.

-Lipo karibu na huduma za kifedha ( Uwepo wa benki) pamoja na :Ukaribu wake na ofisi za Wilaya na Halmashauri.

Mradi unatarajiwa kukamilika kipindi cha mwaka wa fedha 2014/2025 ambapo jumla ya Shilingi Milioni 737.7 zinahitajika kukamilisha mradi huu.

Halmashauri ya Wilaya ya Mafia kupitia Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji ipo tayari kutumikia wananchi kwa kuhakikisha kuwa huduma za msingi katika jamii zinapatikana

Mradi wa Jengo la Mama na Mtoto (Hospitali ya Wilaya)

Mradi unatekelezwa kwa fedha kutoka Serikali Kuu (Milioni 250) na wadau wa Kuimarisha Huduma za Uzazi na  Afya ya Mtoto (Milioni270) ambapo jumla ya gharama zote za mradi ni Shilingi Milioni 520.

Mradi wa nyumba za walimu, Bweni

Nyumba tatu za walimu katika Shule ya Msingi Bweni zinazotekelezwa kwa fedha kutoka Serikali Kuu.


Mradi wa ujenzi wa Shule Mpya ya Msingi Mwawani

Mradi wa ujenzi wa shule mpya ya msingi katika kitongoji cha Mwawani, kijiji cha Kifinge upo katika hatua za mwanzo za utekelezaji.

Wananchi wameweka nguvu kwa kuchangia usafishaji wa eneo la mradi kuwezesha mradi kutekelezwa.





Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KULIPIA VIWANJA May 20, 2025
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • WITO WATOLEWA KWA WATOTO WA KIKE KUPENDA MASOMO YA SAYANSI

    May 17, 2025
  • MAFIA KUUNGANISHWA NA UMEME WA GRIDI YA TAIFA

    May 16, 2025
  • WANANCHI WAASWA KUJITOKEZA KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 16, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LARIDHIA KUANZISHWA KWA MRADI WA UONGEZAJI THAMANI ZAO LA DAGAA

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

MWENGE WA UHURU WAPONGEZA VIWANGO VYA BARABARA YA MSUFINI
Tazama Video zaidi

Viungo vya haraka

  • Home
  • Photo Gallery
  • FAQ
  • Tourism
  • Investment
  • MATOKEO YA STD VII 2022

Viungo vinavyohusiana

  • OR- TAMISEMI
  • OR- Menejimenti Utumishi wa Umma
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya ajira katika Utumishi wa Umma
  • Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi
  • Wizara ya Fedha na Mipango

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kilindoni-Bomani Street

    Anuani ya posta: 85

    Simu: 0232010199

    Simu ya mkononi:

    Baruapepe: ded.mafia@pwani.go.tz / ded@mafiadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Katazo
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma namba 1
    • YOUTUBE

Copyright ©2017 Mafia District Council . All rights reserved.