• Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mafia District Council
Mafia District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Ardhi, Mipango miji na Maliasili
      • Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
        • Kitengo cha Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi na Zima Mmoto
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango na Takwimu
    • Vitengo
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Tehama
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Huduma za jamii
      • Maadili
      • Fedha, Utawala, na Mipango
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Kujua Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
      • YOUTUBE
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

CAMFED YAZINDUA MRADI WILAYANI MAFIA

Posted on: June 27th, 2024

Shirika la @camfed limetambulisha rasmi mradi wake wa Stadi za Maisha wilayani Mafia likihusisha Wakuu wa Shule, Waratibu Elimu Kata na Walimu Walezi kwa kuwapatia mafunzo.

Mradi huo wenye lengo la kuwajenga vijana na kuwaandaa kimaadili, uwajibikaji, na kuwa na moyo wa kujitolea kulitumikia Taifa katika nyanja mbalimbali ikiwemo uongozi, umetambulishwa kwa mafunzo ya siku mbili kuanzia Juni 27 hadi 28, 2024, katika Shule ya Sekondari Kilindoni, ambapo mgeni rasmi alikuwa Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia Ndugu Mohammed Hussein aliyefungua mafunzo hayo.

Awali Programu Meneja kutoka Shirika la CAMFED, Ndugu Latifa Sabuni amesisitiza kuwa ili Mradi uweze kutekelezwa vizuri, juhudi zinahitajika kutoka kwa  Viongozi wa Serikali katika Usimamizi wa Mradi wa Elimu wa Stadi za Maisha katika Sekondari zote ili kupata tija ya Mafunzo haya kwa Vijana wilayani, Mkoa na Taifa kwa ujumla.

Kwa kushirikiana na Wizara ya Elimu, Ofisi ya Rais TAMISEMI na Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Shirika la CAMFED linatekeleza mradi huo katika Halmashauri 35 katika shule zote za Serikali kuanzia kidato cha kwanza.

Shirika la CAMFED ( Campaign for Female Education) ni Shirika lisilo la Kiserikali linalojikita katika kumsaidia mtoto wa kike ili aweze kwenda shule, kustawi na kumuandaa kuwa kiongozi mwenye maono na kuleta mabadiliko kwenye jamii.

Shirika limefanya mabadiliko kwa kuongeza wigo na kuhusisha watoto wa kiume ili waweze kunufaika na mradi huo.

Wawezeshaji wa Mradi wa CAMFED

Wakuu wa shule za serikali Mafia

Waratibu elimu kata Wilaya ya Mafia

Walimu wa malezi wataofanya kazi na mradi wa CAMFED

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KULIPIA VIWANJA May 20, 2025
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • WITO WATOLEWA KWA WATOTO WA KIKE KUPENDA MASOMO YA SAYANSI

    May 17, 2025
  • MAFIA KUUNGANISHWA NA UMEME WA GRIDI YA TAIFA

    May 16, 2025
  • WANANCHI WAASWA KUJITOKEZA KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 16, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LARIDHIA KUANZISHWA KWA MRADI WA UONGEZAJI THAMANI ZAO LA DAGAA

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

MWENGE WA UHURU WAPONGEZA VIWANGO VYA BARABARA YA MSUFINI
Tazama Video zaidi

Viungo vya haraka

  • Home
  • Photo Gallery
  • FAQ
  • Tourism
  • Investment
  • MATOKEO YA STD VII 2022

Viungo vinavyohusiana

  • OR- TAMISEMI
  • OR- Menejimenti Utumishi wa Umma
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya ajira katika Utumishi wa Umma
  • Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi
  • Wizara ya Fedha na Mipango

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kilindoni-Bomani Street

    Anuani ya posta: 85

    Simu: 0232010199

    Simu ya mkononi:

    Baruapepe: ded.mafia@pwani.go.tz / ded@mafiadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Katazo
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma namba 1
    • YOUTUBE

Copyright ©2017 Mafia District Council . All rights reserved.