• Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mafia District Council
Mafia District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Ardhi, Mipango miji na Maliasili
      • Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
        • Kitengo cha Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi na Zima Mmoto
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango na Takwimu
    • Vitengo
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Tehama
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Huduma za jamii
      • Maadili
      • Fedha, Utawala, na Mipango
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Kujua Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
      • YOUTUBE
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

COWOFO MAFIA YATEMBELEA WAGONJWA HOSPITALI YA WILAYA

Posted on: May 21st, 2025

Asasi ya Wanawake inayojishughulisha na uchakataji wa mazao ya bahari wilayani Mafia ( COWOFO), leo Mei 21, 2025 imekabidhi msaada wa sabani na nepi za watoto (pampers) kwa wazazi na watoto walio chini ya umri wa miaka mitano katika Hospitali ya Wilaya ya Mafia.

Akikabidhi msaada huo, Mwenyekiti wa Asasi hiyo Bi. Sara Bakari ametoa wito kwa wadau mbalimbali kujitokeza kuwaunga mkono katika kusaidia wagonjwa, hasa wale wasiojiweza Hospitalini hapo pamoja na vituo vingine vya kutolea huduma ya afya.

" Tumekuja kuwafariji wagonjwa kwa kidogo tulichojaaliwa na Mweyezi Mungu, tunashukuru kwa kupokelewa vizuri na tunatoa hamasa kwa mashirika na wadau wengine wajitolee kuwasaidia wagonjwa" alieleza Bi. Bakari.

Akipokea msaada huo, Muuguzi Mfawidhi wa Hospitali ya Wilaya ya Mafia Bi. Fatuma Jabiri, ametoa shukrani za dhati kwa asasi hiyo kwa kusaidia wagonjwa na kuungana na kuthamini juhudi mbalimbali za wauguzi hospitalini hapo.

Aidha, ametoa wito kwa vikundi mbalimbali katika jamii kuwatembelea wagonjwa na kuwafariji.

Asasi ya COWOFO ilianzishwa mwaka 2022 na inafanya kazi kwa kushirikiana na Hifadhi ya Bahari Mafia ( HIBAMA), Shirika la Uhifadhi wa Mazingira Duniani ( WWF), Shirika linalojihusisha na Uhifadhi wa Mazingira na Utunzaji wa Papa Potwe (WATONET), na Halmashauri ya Wilaya ya Mafia.

Asasi hiyo imekuwa ikiwezeshwa na WWF kwa kujengewa uwezo wa namna ya uongezaji wa thamani wa mazao ya bahari ikiwemo mwani, samaki, na dagaa, pamoja na kupatiwa elimu ya utunzaji wa mazingira kutoka Hifadhi ya Bahari Mafia (HIBAMA).


Matangazo

  • TANGAZO: KUITWA KWENYE USAILI (UCHAGUZI MKUU 2025) October 05, 2025
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • DC MAGOTI ASISITIZA UMAKINI KATIKA USIMAMIZI WA MIRADI

    August 14, 2025
  • KATIBU TAWALA MOROGORO AIPONGEZA MAFIA KWA USIMAMIZI MZURI WA UTOAJI WA MIKOPO YA DKT.SAMIA

    August 04, 2025
  • KARIBU MAONESHO YA NANENANE BANDA LA MAFIA, MKOANI MOROGORO

    August 02, 2025
  • "UTUMISHI WA UMMA NI WITO"

    July 26, 2025
  • Tazama zote

Video

AGIZO LA DC MANGOSONGO KWA TANROADS
Tazama Video zaidi

Viungo vya haraka

  • Home
  • Photo Gallery
  • FAQ
  • Tourism
  • Investment
  • MATOKEO YA STD VII 2022

Viungo vinavyohusiana

  • OR- TAMISEMI
  • OR- Menejimenti Utumishi wa Umma
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya ajira katika Utumishi wa Umma
  • Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi
  • Wizara ya Fedha na Mipango

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kilindoni-Bomani Street

    Anuani ya posta: 85

    Simu: 0232010199

    Simu ya mkononi:

    Baruapepe: ded.mafia@pwani.go.tz / ded@mafiadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Katazo
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma namba 1
    • YOUTUBE

Copyright ©2017 Mafia District Council . All rights reserved.