• Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mafia District Council
Mafia District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Ardhi, Mipango miji na Maliasili
      • Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
        • Kitengo cha Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi na Zima Mmoto
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango na Takwimu
    • Vitengo
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Tehama
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Huduma za jamii
      • Maadili
      • Fedha, Utawala, na Mipango
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Kujua Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
      • YOUTUBE
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

DC MANGOSONGO AHIMIZA ELIMU KUHUSU UMUHIMU WA CHANJO

Posted on: May 10th, 2025

Watumishi wa afya wilayani Mafia waaswa kuongeza nguvu katika utoaji wa elimu kwa wananchi juu ya umuhimu wa chanjo ili kuzuia magonjwa. 

Wito huo umetolewa Mei 9, 2025 na Mkuu wa Wilaya ya Mafia Mhe. Aziza Mangosongo wakati wa kikao maalum cha kutambulisha chanjo ya pili ya Polio ambapo pamoja na kutilia mkazo suala la chanjo, ametumia fursa hiyo kuhamasisha jamii kujenga vyoo bora na kutunza mazingira ili kuepuka magonjwa ya mlipuko.

" Afya ni kila kitu katika maisha yetu, kama afya ikitetereka hata maisha yetu ya kila siku hatuwezi kuwa na maendeleo. Polio asilimia kubwa ya kuenea kwake ni  uchafu, hivyo tujitahidi kuwa wasafi katika uandaaji wa vyakula, miili yetu, kuhakikisha watoto wanapata chanjo pamoja na kujenga vyoo bora" alisema Mhe. Mangosongo.

Kwa upande wake, Afisa Afya wa Wilaya ya Mafia Ndugu Othman Masanga ameeleza kuwa miongoni mwa sababu zinazopelekea kuenea kwa ugonjwa wa Polio ni pamoja na kinyesi, maji machafu na matapishi, hivyo ameendelea kutoa wito kwa jamii kuzingatia usafi katika shughuli zao za kila siku.

Baadhi ya wajumbe waliohidhuria kikao hicho wameishukuru Idara ya Afya kwa kuwapa elimu na kuahidi kusambaza elimu hiyo katika jamii ili wananchi waweze kuepukana na magonjwa.

" Tumepewa taratibu na kuelekezwa kuanza chanjo, elimu tumepata hivyo tutakwenda vijijini kuelimisha wananchi ili wapate elimu ya kutosha juu ya maana ya chanjo na hasara za kutochanja" alieleza Ndugu Ngweshani Bakiri, Mwenyekiti wa Bodi ya Afya Wilaya ya Mafia.

Matangazo

  • TANGAZO: NAFASI ZA KAZI ZA MUDA; UCHAGUZI MKUU July 02, 2025
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • VETA YATOA MAFUNZO KWA MAMA LISHE ZAIDI YA 200 WA KATA YA KILINDONI

    June 17, 2025
  • JITIHADA ZIONGEZWE KUTOKOMEZA MALARIA

    June 17, 2025
  • MARUFUKU UTOAJI WA AJIRA KWA WATOTO; AONYA DC MANGOSONGO

    June 16, 2025
  • WANANCHI WAASWA KUJALI AFYA ZAO KUEPUKA MADHARA MAKUBWA YANAYOWEZA KUTOKEA

    June 14, 2025
  • Tazama zote

Video

Kisiwa cha Mafia ndani ya SGR
Tazama Video zaidi

Viungo vya haraka

  • Home
  • Photo Gallery
  • FAQ
  • Tourism
  • Investment
  • MATOKEO YA STD VII 2022

Viungo vinavyohusiana

  • OR- TAMISEMI
  • OR- Menejimenti Utumishi wa Umma
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya ajira katika Utumishi wa Umma
  • Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi
  • Wizara ya Fedha na Mipango

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kilindoni-Bomani Street

    Anuani ya posta: 85

    Simu: 0232010199

    Simu ya mkononi:

    Baruapepe: ded.mafia@pwani.go.tz / ded@mafiadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Katazo
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma namba 1
    • YOUTUBE

Copyright ©2017 Mafia District Council . All rights reserved.