• Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mafia District Council
Mafia District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Ardhi, Mipango miji na Maliasili
      • Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
        • Kitengo cha Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi na Zima Mmoto
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango na Takwimu
    • Vitengo
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Tehama
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Huduma za jamii
      • Maadili
      • Fedha, Utawala, na Mipango
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Kujua Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
      • YOUTUBE
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

DC MANGOSONGO ATAKA MIRADI IAKISI THAMANI YA FEDHA

Posted on: September 23rd, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Mafia Mhe. Aziza Mangosongo ametembelea na kukagua miradi mbalimbali inayoendelea kutekelezwa na inayoanza kutekelezwa wilayani Mafia ikiwa ni mwemdelezo wa ziara yake.

Miradi iliyokaguliwa ni pamoja na mradi wa ofisi ya kijiji cha Dongo, ujenzi wa nyumba ya walimu katika shule ya Msingi Sikula iliyopo kijiji cha Dongo, ujenzi wa vyoo katika shule ya sekondari Baleni, ujenzi wa jiko pamoja na ujenzi wa bweni katika shule ya sekondari ya Kirongwe.

Akiwa katika ziara yake Septemba 22, 2025, Mhe. Mangosongo amezitaka kamati za usimamizi wa miradi kuhakikisha kuwa miradi inayoendelea kutekelezwa inakamilika kwa wakati kwa kizingatia thamani ya fedha.

Ameeleza kuwa ni muhimu kamati zikatekeleza majukumu yake kwa kuzingatia miongozo ya Serikali ya usimamizi wa miradi ili miradi ikamilike kwa ubora na wananchi waanze kunufaika nayo.

Aidha, amezielekeza serikali za vijiji kuweka nguvu katika kutekeleza miradi yao kwa kusimamia vizuri fedha za vijiji kukamilisha miradi, ikowemo ujenzi wa ofisi huku akiipongeza serikali ya kijiji cha Dongo kwa kushirikiana na wananchi wa kijiji hicho  kujenga ofisi.

Pamoja na mambo mengine, Mhe. Mangosongo amesisitiza mawasiliano mazuri kati ya wasimamizi wa miradi na viongozi kwa ngazi ya Halmashauri na Wilaya ili kuwezesha kutatua changamoto zozote zinazojitokeza katika utekelezaji wa miradi.


Matangazo

  • MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO; WASIMAMIZI WASAIDIZI NA MAKARANI (UCHAGUZI MKUU, 2025) October 20, 2025
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • KATIBU TAWALA AONGOZA KIKAO KAZI NA WALIMU WILAYANI MAFIA

    October 02, 2025
  • WADAU WA MAZINGIRA, HALMASHAURI NA WANANCHI WAUNGANA KUTOKOMEZA KUENEA KWA PLASTIKI

    October 02, 2025
  • WATAALAMWA HALMASHAURI WAJIFUNZA UANDAAJI WA BAJETI

    September 28, 2025
  • UTENGAJI WA MAENEO YA MALISHO SULUHISHO LA MIGOGORO KATI YA WAKULIMA NA WAFUGAJI

    September 24, 2025
  • Tazama zote

Video

USIKOSE KUWA SEHEMU YA TUKIO HILI MUHIMU KIHISTORIA
Tazama Video zaidi

Viungo vya haraka

  • Home
  • Photo Gallery
  • FAQ
  • Tourism
  • Investment
  • MATOKEO YA STD VII 2022

Viungo vinavyohusiana

  • OR- TAMISEMI
  • OR- Menejimenti Utumishi wa Umma
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya ajira katika Utumishi wa Umma
  • Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi
  • Wizara ya Fedha na Mipango

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kilindoni-Bomani Street

    Anuani ya posta: 85

    Simu: 0232010199

    Simu ya mkononi:

    Baruapepe: ded.mafia@pwani.go.tz / ded@mafiadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Katazo
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma namba 1
    • YOUTUBE

Copyright ©2017 Mafia District Council . All rights reserved.