• Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mafia District Council
Mafia District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Ardhi, Mipango miji na Maliasili
      • Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
        • Kitengo cha Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi na Zima Mmoto
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango na Takwimu
    • Vitengo
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Tehama
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Huduma za jamii
      • Maadili
      • Fedha, Utawala, na Mipango
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Kujua Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
      • YOUTUBE
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

KAMATI YA FEDHA , MIPANGO NA UTAWALA WATEMBELEA MIRADI

Posted on: November 10th, 2022

Katika ziara iliyofanyika siku  ya tarehe 09/11/2022 , wajumbe wa kamati ya fedha , mipango na utawala walitembea miradi mbalimbali ikiwemo:-

Mradi wa jengo la ofisi la Halmashauri  kamati iliridhishwa na hali ya  maendeleo ya  ujenzi wa  mradi wa jengo la ofisi japokuwa kuna changamoto ya uchelewaji wa mapokezi ya fedha hivyo wameshauri utafutwe muarobaini  wa kutatua tatizo hili na kuhusu  kuisha kwa mkataba mkandarasi mshauri wameagiza taratibu zifuatwe na aongozwe mkataba uongozwe ili aweze kukamilisha kazi yake na wameshauri fedha za  ukamilishaji wa uwekaji wa umeme, mandhari  ya nje ya jengo (land scaping) , samani za ofisi , uzio viombewe fedha  mapema  ili isichukue muda mrefu kuhamia pindi litakapokabidhiwa

Ujenzi wa zahanati kijiji cha Chemchem

Kamati  imemuagiza mhandisi amsimamie fundi vizuri na kwa ukaribu  ili mradi ukamilike kwa wakati ,  Kamati ilihiji kuhusu ujenzi wa ambapo mhandisi ujenzi aliiambia kamati kuwa fedha za  ujenzi wa choo  zilishatengwa taratibu za manunuzi zinaendelea

Mradi wa Uchakataji wa taka mbichi za majumbani kuwa mbolea shambakilole - Utende

Kamati ilimpongeza mmiliki wa hoteli ya shambakilole kwa ubunifu wa kuanzisha mradi wa  kubadili taka mbichi kuwa mbolea, taka hizi ni za majumbani , alionesha kamati pamoja na wataalam jinsi ya kuzibadilisha taka hizo ambazo ni tishio kwa sasa na kuwa mbolea isiyo na sumu. Alisema taka hizo zinapitia hatua nne kila na kila hatua inachukua siku 07 mpaka 10 . Pia alieleza njia ya pili ya kuteketeza ama kuzibadili taka mbichi hizo ni kwa kutumia inzi maalumu wanaokula taka mbichi na baadae  kinyesi  inzi na inzi wenyewe wanakua mbolea hao  mwisho kamati iliridhia mradi uanze.

Kuwatembelea wanafunzi walio kwenye maandalizi ya kidato cha nne katika shule ya sekondari kitomondo, wajumbe waliwapa nasaha  na kuwaombea  waweze kufanya vizuri katika mitihani yao ya kidato cha nne ,  Hata hivyo  kamati inayowasimamia vijana hao waliuomba uongozi wa Halmashauri kuwalipa kiasi kilichobaki katika mchango wake kwa vijana ambapo

malipo yamechelewa pia shukrani zao za dhati kwa mdau Kalamu Education Foundation (KEF) kwani wamekua mstari wa mbele kutoa  msaada mkubwa hasa kwa upande wa elimu

Ujenzi wa shule  mpya ya msingi Kigamboni  
mbao haziko treated, na zinabaki nyingine zina
 kamati ilishauri  kamati za ujenzi kabla hazijafanya manunuzi zipeleke mahitaji kwa mhanandisi ili aweze kushauri , pia walishauri mbao zitakazobakia zilipelekwe sehemu zenye miradi inayoondelea kuepusha uharibifu na kupata / kuongezea mahitaji yaliyopungua

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KULIPIA VIWANJA May 20, 2025
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • WITO WATOLEWA KWA WATOTO WA KIKE KUPENDA MASOMO YA SAYANSI

    May 17, 2025
  • MAFIA KUUNGANISHWA NA UMEME WA GRIDI YA TAIFA

    May 16, 2025
  • WANANCHI WAASWA KUJITOKEZA KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 16, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LARIDHIA KUANZISHWA KWA MRADI WA UONGEZAJI THAMANI ZAO LA DAGAA

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

MWENGE WA UHURU WAPONGEZA VIWANGO VYA BARABARA YA MSUFINI
Tazama Video zaidi

Viungo vya haraka

  • Home
  • Photo Gallery
  • FAQ
  • Tourism
  • Investment
  • MATOKEO YA STD VII 2022

Viungo vinavyohusiana

  • OR- TAMISEMI
  • OR- Menejimenti Utumishi wa Umma
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya ajira katika Utumishi wa Umma
  • Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi
  • Wizara ya Fedha na Mipango

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kilindoni-Bomani Street

    Anuani ya posta: 85

    Simu: 0232010199

    Simu ya mkononi:

    Baruapepe: ded.mafia@pwani.go.tz / ded@mafiadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Katazo
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma namba 1
    • YOUTUBE

Copyright ©2017 Mafia District Council . All rights reserved.