• Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mafia District Council
Mafia District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Ardhi, Mipango miji na Maliasili
      • Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
        • Kitengo cha Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi na Zima Mmoto
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango na Takwimu
    • Vitengo
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Tehama
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Huduma za jamii
      • Maadili
      • Fedha, Utawala, na Mipango
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Kujua Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
      • YOUTUBE
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YAKAGUA MIRADI

Posted on: February 1st, 2025

Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango ya Halmashauri ya Wilaya ya Mafia, leo Februari 01, 2025 imetembelea na kukagua miradi mbalimbali inayotekelezwa wilayani. 

Miradi iliyotembelewa ni pamoja na ujenzi wa shule mpya sekondari Jimbo katika kata ya Kirongwe, ujenzi wa zahanati ya Kibada katika kata ya Baleni, ujenzi wa shule ya msingi Sharaza iliyopo kata ya Kirongwe, eneo lenye ukubwa wa hekari 56 la shamba la mkulima katika kata ya Ndagoni, pamoja na ukaguzi wa mwalo uliopo Tumbuju.

Kamati imesisitiza ukamilishaji wa miradi kwa wakati ili wananchi wasikae muda mrefu bila kupata huduma pamoja na kuwataka wasimamizi wa miradi kufanya kazi kwa ushirikiano na uaminifu.


Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI YA UWAKALA WA KUKUSANYA MAPATO January 27, 2026
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • CHANGAMOTO YA KUTOBAINI TATIZO LA UDUMAVU KWA WATOTO LAPATIWA SULUHISHO

    January 21, 2026
  • HALMASHAURI YAHIMIZWA KUWEKA MAZINGIRA MAZURI KUVUTIA WAWEKEZAJI

    January 15, 2026
  • WASIMAMIZI WA MIRADI WATAKIWA KUFUATA MIONGOZO YA SERIKALI KATIKA UTEKELEZAJI

    January 02, 2026
  • USHIRIKISHWAJI WA JAMII NI NGUZO KUBWA YA UTUNZAJI WA RASILIMALI ZA BAHARI

    December 30, 2025
  • Tazama zote

Video

WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA WAPEWA MSAADA WA VIFAA VYA SHULE
Tazama Video zaidi

Viungo vya haraka

  • Home
  • Photo Gallery
  • FAQ
  • Tourism
  • Investment
  • MATOKEO YA STD VII 2022

Viungo vinavyohusiana

  • OR- TAMISEMI
  • OR- Menejimenti Utumishi wa Umma
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya ajira katika Utumishi wa Umma
  • Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi
  • Wizara ya Fedha na Mipango

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kilindoni-Bomani Street

    Anuani ya posta: 85

    Simu: 0232010199

    Simu ya mkononi:

    Baruapepe: ded.mafia@pwani.go.tz / ded@mafiadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Katazo
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma namba 1
    • YOUTUBE

Copyright ©2017 Mafia District Council . All rights reserved.