• Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mafia District Council
Mafia District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Ardhi, Mipango miji na Maliasili
      • Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
        • Kitengo cha Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi na Zima Mmoto
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango na Takwimu
    • Vitengo
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Tehama
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Huduma za jamii
      • Maadili
      • Fedha, Utawala, na Mipango
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Kujua Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
      • YOUTUBE
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

KATIBU TAWALA AONGOZA KIKAO KAZI NA WALIMU WILAYANI MAFIA

Posted on: October 2nd, 2025

Katibu Tawala wa Wilaya ya Mafia Ndugu Shabani Shabani amewataka walimu kufanya kazi kwa bidii huku wakizingatia miongozo iliyopo katika taaluma yao ili kuboresha elimu wilayani na Taifa kwa ujumla. 

Ndugu Shabani ameyasema hayo leo Oktoba 2, 2025 wakati wa kikao na walimu wa shule ya msingi ikiwa ni siku ya pili ya  kukutana na walimu wa shule zote za msingi na sekondari kwa lengo la kusikiliza kero pamoja na kuwakumbusha masuala ya msingi katika majukumu yao.

Ameeleza kuwa, ni muhimu kwa walimu kufanya kazi kwa kuzingatia mambo matatu makubwa ambayo ni sheria, kanuni na taratibu za kazi, nidhamu pamoja na kuipenda kazi yao ili kuleta matokeo chanya." Kuwa mwalimu ni zaidi ya kufundisha darasani, nje ya kazi pia ni muhimu kwa mwalimu kuishi kwa kuonesha mfano mzuri kwa jamii, maana hata mwanafunzi anaweza kuiga mazuri kutoka kwa mwalimu wake. Mambo haya matatu si kwa walimu tu pekee, ila watumishi wote ni muhimu kuzingatia haya" alieleza.

Aidha, ameeleza kuwa Serikali inaendelea kujizatiti  katika kuhakikisha inaboresha elimu pamoja na mazingira ya kazi ikiwemo kulipa stahiki zao, kuajiri walimu wapya pamoja na kuboresha miundombinu.


Matangazo

  • MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO; WASIMAMIZI WASAIDIZI NA MAKARANI (UCHAGUZI MKUU, 2025) October 20, 2025
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • KATIBU TAWALA AONGOZA KIKAO KAZI NA WALIMU WILAYANI MAFIA

    October 02, 2025
  • WADAU WA MAZINGIRA, HALMASHAURI NA WANANCHI WAUNGANA KUTOKOMEZA KUENEA KWA PLASTIKI

    October 02, 2025
  • WATAALAMWA HALMASHAURI WAJIFUNZA UANDAAJI WA BAJETI

    September 28, 2025
  • UTENGAJI WA MAENEO YA MALISHO SULUHISHO LA MIGOGORO KATI YA WAKULIMA NA WAFUGAJI

    September 24, 2025
  • Tazama zote

Video

USIKOSE KUWA SEHEMU YA TUKIO HILI MUHIMU KIHISTORIA
Tazama Video zaidi

Viungo vya haraka

  • Home
  • Photo Gallery
  • FAQ
  • Tourism
  • Investment
  • MATOKEO YA STD VII 2022

Viungo vinavyohusiana

  • OR- TAMISEMI
  • OR- Menejimenti Utumishi wa Umma
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya ajira katika Utumishi wa Umma
  • Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi
  • Wizara ya Fedha na Mipango

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kilindoni-Bomani Street

    Anuani ya posta: 85

    Simu: 0232010199

    Simu ya mkononi:

    Baruapepe: ded.mafia@pwani.go.tz / ded@mafiadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Katazo
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma namba 1
    • YOUTUBE

Copyright ©2017 Mafia District Council . All rights reserved.