• Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mafia District Council
Mafia District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Ardhi, Mipango miji na Maliasili
      • Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
        • Kitengo cha Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi na Zima Mmoto
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango na Takwimu
    • Vitengo
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Tehama
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Huduma za jamii
      • Maadili
      • Fedha, Utawala, na Mipango
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Kujua Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
      • YOUTUBE
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

KIKAO CHA WADAU WA ELIMU 18/03/2021

Posted on: March 22nd, 2021


Idara ya Elimu Sekondari iliandaa kikao kilichowashirikisha wadau mbalimbali wa elimu kwa ajili kuwashukuru na kutoa taarifa ya mandeleo ya Elimu Sekondari.

Mgeni rasmi wa kikao hicho alikuwa Mh.Shaib Nnunduma  Mkuu wa Wilaya ya Mafia aliyewakilishwa na Katibu tawala wake Ndugu Gilbert Sandagila ambaye alitoa hotuba fupi ya ufunguzi

Baada ya ufunguzi ilisomwa taarifa rasmi ya uendeshaji wa kambi kwa wanafunzi wa kidato cha nne  mwaka 2020 zilizowekwa katika shule mbili za sekondari 1. Bweni sekondari ambapo waliwekwa wanafunzi waliokuwa wanasoma  masomo ya sanaa na 2. Kitomondo Sekondari ambapo waliwekwa wanafunzi waliokuwa wanasoma  wa sayansi .

Kambi hizo mbili zilisimamiwa na kamati  iliyoundwa na walimu chini ya ofisi ya Afisa Elimu Sekondari ambapo ilisaidiana na ofisi ya afisa Elimu Sekondari kuendesha na kusimamia shughuli zote za kambi

Kambi ilikuwa miezi mitatu kuanzia mwezi Julai 2020  hadi mwezi Novemba .2020, gharama za kambi hizo ni Tshs. 119,047,000 zikiwemo gharama za chakula Tshs. 75,332,000/=, shajala Tshs. 23,315,000/=  na  usafiri  Tshs. 20,400,000/=

Pia waliwashukuru wahisani mbali mbali waliojitokeza hata kufanikisha zoezi zima la kambi wakiwemo:-

  • Kalamu Education Foundation
  • TANPESCA
  • Kisoma Shop
  • Msikiti w Kigamboni
  • Thanda Hotel
  • Bunge huru la Mafia
  • Afro whale shark safari
  • Abufahad Cargo handling & Stat. Co. LTD
  • NMB Mafia
  • MIHLGSO
  • Tunduru shop
  • Mohamed Nyundo
  • Dunia shop
  • Mwl Ramadhan Ahmed
  • CWT Mafia
  • Kanisa la K.K.K.T
  • Kanisa la E.A.G.T
  • Maendeleo ya Jamii
  • Meneja RUWASA
  • TALGWU
  • Zainabu Mohamedi
  • Mwl. Mohamed Kipende
  • Mama Chole
  • Mama Shiraz (R.M Casmir)
  • TANESCO
  • DAU
  • MIDEF (Rhumba)
  • NAMA Foundation
  • Khalid Islamic Education Foundation
  • Wakuu wa Shule
  • Mkurugenzi Mtendaji (W)
  • Afisa Elimu Sekondari (W)

Katika kikao hicho pia iliwasilishwa taarifa ya matokeo ya mitihani ya kidato cha nne ambapo wanafunzi waliofanya mtihani kwa mwaka 2020 ni 437 na walifaulu kwa 88.9%  na mwanafunzi waliopata daraja 0 (Division zero) ni 48 tu ukilinganisha na mwaka  2019 waliofanya mtihani wanafunzi 427 na ufaulu ulikuwa 67% waliopata daraja sifuri (Division 0 ) walikuwa 140

Changamoto mbalimbali ziliwasilishwa na kujadiliana namna ya kuzitatua pia michango mbalimbali ya namna ya kuanzisha na kuendesha tena kambi kwa kidato cha nne  mwaka 2021 zilijadiliwa walienda mbali zaidi na kusema pia kidato cha pili na wenyewe wawekwe kwenye kambi ili kupata muda mzuri wa kujiandaa na mtihani wa Taifa wa kidato cha pili.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KULIPIA VIWANJA May 20, 2025
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • WITO WATOLEWA KWA WATOTO WA KIKE KUPENDA MASOMO YA SAYANSI

    May 17, 2025
  • MAFIA KUUNGANISHWA NA UMEME WA GRIDI YA TAIFA

    May 16, 2025
  • WANANCHI WAASWA KUJITOKEZA KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 16, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LARIDHIA KUANZISHWA KWA MRADI WA UONGEZAJI THAMANI ZAO LA DAGAA

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

MWENGE WA UHURU WAPONGEZA VIWANGO VYA BARABARA YA MSUFINI
Tazama Video zaidi

Viungo vya haraka

  • Home
  • Photo Gallery
  • FAQ
  • Tourism
  • Investment
  • MATOKEO YA STD VII 2022

Viungo vinavyohusiana

  • OR- TAMISEMI
  • OR- Menejimenti Utumishi wa Umma
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya ajira katika Utumishi wa Umma
  • Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi
  • Wizara ya Fedha na Mipango

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kilindoni-Bomani Street

    Anuani ya posta: 85

    Simu: 0232010199

    Simu ya mkononi:

    Baruapepe: ded.mafia@pwani.go.tz / ded@mafiadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Katazo
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma namba 1
    • YOUTUBE

Copyright ©2017 Mafia District Council . All rights reserved.