• Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mafia District Council
Mafia District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Ardhi, Mipango miji na Maliasili
      • Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
        • Kitengo cha Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi na Zima Mmoto
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango na Takwimu
    • Vitengo
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Tehama
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Huduma za jamii
      • Maadili
      • Fedha, Utawala, na Mipango
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Kujua Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
      • YOUTUBE
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WANANCHI WAASWA KUJALI AFYA ZAO KUEPUKA MADHARA MAKUBWA YANAYOWEZA KUTOKEA

Posted on: June 14th, 2025

Wananchi wa wilaya ya Mafia wameaswa kuwa na utaratibu wa kwenda katika vituo vya kutolea huduma ya afya mara kwa mara kwa ajili ya kuchunguza afya zao pamoja na kupatiwa matibabu kabla matatizo hayajawa makubwa. 

Wito huo umetolewa leo Juni 14, 2025 na madaktari bingwa waliopo chini ya mpango maalum wa Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, wakati wa hafla fupi ya kuwaaga madaktari hao walioweka kambi katika Hospitali ya Wilaya kuanzia Juni 9, hadi 13,  2025.

" Ni muhimu sana wananchi wawe na tabia ya kufika hospitali mara nyingi  maana wanapoendelea kukaa nyumbani, matatizo ya afya waliyonayo yanaweza kuwa makubwa zaidi na kuleta shida kwenye matibabu" ameeleza Grace Matasha, Daktari bingwa wa meno.

Akizungumza wakati wa hafla hiyo,  Mkuu wa Wilaya ya Mafia Mhe. Aziza Mangosongo amewataka wananchi  kufika hospitali pindi huduma ya madaktari bingwa inavyowafikia pamoja na kutoa hamasa kwa wengine.

Aidha, ametoa shukrani kwa Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuboresha huduma ya afya kupitia mpango wake maalum wa   kuhakikisha huduma bora inawafikia watanzania wengi katika maeneo yao kupitia madaktari bingwa.

Pamoja na mambo mengi , wananchi wa Mafia wametakiwa kuhakikisha afya za watoto zinaimarika kwa kuzingatia upatikanaji wa lishe bora kama vile  ulaji wa mboga kwa wingi ili kuzuia maradhi yanayoweza kujitokeza, ikiwemo selimundu ( sickle cell). 

Matangazo

  • TANGAZO: MATOKEO YA USAILI KWA KAZI ZA MKATABA KWA NAFASI ZA UDEREVA NA UHUDUMU WA OFISI May 20, 2025
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • WANANCHI WAASWA KUJALI AFYA ZAO KUEPUKA MADHARA MAKUBWA YANAYOWEZA KUTOKEA

    June 14, 2025
  • DC MANGOSONGO AWAPOKEA WASHINDI WA UMISSETA NGAZI YA MKOA

    June 06, 2025
  • WANANCHI WILAYANI MAFIA WAASWA KUTUNZA MAZINGIRA KUKABILIANA NA MABADILIKO YA TABIANCHI

    May 31, 2025
  • UKOSEFU WA ELIMU MIONGONI MWA VYANZO ZINAVYOSABABISHA VIFO VYA WAZAZI NA WATOTO

    May 29, 2025
  • Tazama zote

Video

MWENGE WA UHURU WAPONGEZA VIWANGO VYA BARABARA YA MSUFINI
Tazama Video zaidi

Viungo vya haraka

  • Home
  • Photo Gallery
  • FAQ
  • Tourism
  • Investment
  • MATOKEO YA STD VII 2022

Viungo vinavyohusiana

  • OR- TAMISEMI
  • OR- Menejimenti Utumishi wa Umma
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya ajira katika Utumishi wa Umma
  • Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi
  • Wizara ya Fedha na Mipango

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kilindoni-Bomani Street

    Anuani ya posta: 85

    Simu: 0232010199

    Simu ya mkononi:

    Baruapepe: ded.mafia@pwani.go.tz / ded@mafiadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Katazo
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma namba 1
    • YOUTUBE

Copyright ©2017 Mafia District Council . All rights reserved.