• Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mafia District Council
Mafia District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Ardhi, Mipango miji na Maliasili
      • Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
        • Kitengo cha Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi na Zima Mmoto
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango na Takwimu
    • Vitengo
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Tehama
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Huduma za jamii
      • Maadili
      • Fedha, Utawala, na Mipango
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Kujua Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
      • YOUTUBE
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MAADHIMISHO YA MEI MOSI WILAYANI MAFIA; WATUMISHI WAASWA KUCHAPA KAZI KWA KUZINGATIA WELEDI

Posted on: May 1st, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Mafia Mhe. Aziza Mangosongo amewataka  watumishi kuwa waaminifu kwa kufuata miiko ya kazi ikiwa ni pamoja na kufanya kazi kwa bidii katika kutumikia wananchi maana Serikali ipo nao sambamba kuhakikisha inaboresha maslahi yao. 

Mhe. Mangosongo ameyasema hayo leo Mei 01, 2025 wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Kimataifa, Mei Mosi ambayo kiwilaya imefanyika katika viwanja vya ofisi za Halmashauri, Chicco.

Ameeleza kuwa Serikali chini ya Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan inaendelea kuboresha mazingira mazuri kwa watumishi kwa kuleta fedha za kujenga  makazi, shule na vituo vya kutolea huduma ya afya pamoja na kuajiri watumishi wapya.

Akijibu risala iliyosomwa kutoka kwa viongozi wa vyama vya wafanyakazi, amesema kuwa Kwa mwaka ujao wa fedha, 2025/2026 watumishi wapya 147 wametengewa bajeti ya mishahara katika Halmashauri ya Wilaya ya Mafia.

Imeelezwa kuwa, maslahi ya watumishi ni jambo ambalo kwa umuhimu wake, Serikali imeendelea kuzingatia kila mwaka kuhakikisha watumishi wanapata stahiki zao.

"Serikali inatenga fedha kila mwaka kwa ajili ya kulipa stahiki za watumishi. Kwa mwaka wa fedha ujao 2025/2026, watumishi 371 wanatarajiwa kupanda madaraja na  tayari bajeti yao imetengwa, huku watumishi 11 kubadilishwa muundo" ameeleza Mhe. Mangosongo. Hivyo watumishi endeleeni kufanya kazi kwa bidii na kuzingatia sheria na miongozo" aliongeza.

Aidha, amewataka watumishi kuendelea kujiandaa na uchaguzi mkuu mwaka huu 2025 kwa kuhakikisha kuwa wale wote ambao hawakuandikishwa, wanajitokeza kuboresha taarifa zao mara zoezi hilo litakapoanza kwa mara ya pili Mei 16 hadi 22, 2025.

Kauli mbiu ya maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi mwaka 2025 inasema kuwa " Uchaguzi Mkuu 2025 Utuletee Viongozi Wanaojali na Kuthamini Haki na Maslahi ya Wafanyakazi" 


Matangazo

  • TANGAZO LA KUFUNGULIWA KWA DIRISHA LA UTOAJI WA MIKOPO May 02, 2025
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • VIONGOZI WA DINI NA ASASI ZA KIRAIA WAASWA KUHAMASISHA JAMII KUSHIRIKI UCHAGUZI MKUU

    May 09, 2025
  • MAADHIMISHO YA MEI MOSI WILAYANI MAFIA; WATUMISHI WAASWA KUCHAPA KAZI KWA KUZINGATIA WELEDI

    May 01, 2025
  • WADAU WADHAMIRIA KUONGEZA THAMANI ZAO LA MWANI

    April 30, 2025
  • MAFIA YAADHIMISHA KILELE CHA WIKI YA CHANJO

    April 30, 2025
  • Tazama zote

Video

MWENGE WA UHURU WAPONGEZA VIWANGO VYA BARABARA YA MSUFINI
Tazama Video zaidi

Viungo vya haraka

  • Home
  • Photo Gallery
  • FAQ
  • Tourism
  • Investment
  • MATOKEO YA STD VII 2022

Viungo vinavyohusiana

  • OR- TAMISEMI
  • OR- Menejimenti Utumishi wa Umma
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya ajira katika Utumishi wa Umma
  • Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi
  • Wizara ya Fedha na Mipango

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kilindoni-Bomani Street

    Anuani ya posta: 85

    Simu: 0232010199

    Simu ya mkononi:

    Baruapepe: ded.mafia@pwani.go.tz / ded@mafiadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Katazo
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma namba 1
    • YOUTUBE

Copyright ©2017 Mafia District Council . All rights reserved.