• Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mafia District Council
Mafia District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Ardhi, Mipango miji na Maliasili
      • Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
        • Kitengo cha Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi na Zima Mmoto
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango na Takwimu
    • Vitengo
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Tehama
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Huduma za jamii
      • Maadili
      • Fedha, Utawala, na Mipango
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Kujua Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
      • YOUTUBE
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MAAFISA MAENDELEO WANOLEWA USIMAMIZI WA MIKOPO YA ASILIMIA 10

Posted on: September 26th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Mafia,  Mhe.  Aziza Mangosongo amezindua rasmi mafunzo kwa wataalam wasimamizi wa mikopo ya asilimia 10 inayotolewa katika Makundi ya Wanawake,Vijana na Watu wenye ulemavu. 

Mafunzo hayo yameanza tarehe 26 Septemba, 2024 na yanatarajiwa kutamatika tarehe 4 Oktoba, 2024 ambapo elimu hiyo itatolewa kwa Makundi mbalimbali wakiwemo wataalamu wa Maendele ya Jamii, Kamati za huduma za mikopo ngazi za kata, Kamati ya Huduma za Mikopo ya Halmashauri, Kamati ya Uhakiki wa Mikopo ngazi ya Wilaya, Waheshimiwa madiwani na Timu ya Menejimenti ya Wilaya. 

Wataalamu, viongozi na Wanakamati watapata maelekezo juu ya usimamizi na utekelezaji wa Mwongozo mpya na  Kanuni za utoaji wa mikopo za mwaka 2024. 

Akizungumza wakati wa mafunzo hayo, Mhe. Mangosongo amewataka maafisa maendeleo kuhakikisha kwamba wanasimamia haki pamoja na kuwa waadilifu ili kurahisisha utoaji wa mikopo mara tu mikopo hiyo itakapoanza kutolewa. 

Kwa upande wake, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri Ndugu Mussa Kitungi ameahidi kusimamia vyema upatikanaji wa mikopo na kuwasisitiza wasimamizi wa mikopo kuzingatia sheria, kanuni na taratibu pamoja na misingi ya uadilifu, haki na usawa. 

Serikali imeandaa muongozo mpya wa utoaji wa mikopo ya asilimia 10 kwa wanawake, vijana na watu wenye ulemavu ambao utatumika kwa mwaka huu wa fedha 2024/2025. 

Wananchi wanashauriwa kuendelea kufuatilia taarifa kuhusu utoaji na upatikanaji wa mikopo ya asilimia 10, ili kwa kuzingatia vigezo na masharti, wapate kunufaika kiuchumi na kuchangia maendeleo ya Taifa.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KULIPIA VIWANJA May 20, 2025
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • WITO WATOLEWA KWA WATOTO WA KIKE KUPENDA MASOMO YA SAYANSI

    May 17, 2025
  • MAFIA KUUNGANISHWA NA UMEME WA GRIDI YA TAIFA

    May 16, 2025
  • WANANCHI WAASWA KUJITOKEZA KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 16, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LARIDHIA KUANZISHWA KWA MRADI WA UONGEZAJI THAMANI ZAO LA DAGAA

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

MWENGE WA UHURU WAPONGEZA VIWANGO VYA BARABARA YA MSUFINI
Tazama Video zaidi

Viungo vya haraka

  • Home
  • Photo Gallery
  • FAQ
  • Tourism
  • Investment
  • MATOKEO YA STD VII 2022

Viungo vinavyohusiana

  • OR- TAMISEMI
  • OR- Menejimenti Utumishi wa Umma
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya ajira katika Utumishi wa Umma
  • Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi
  • Wizara ya Fedha na Mipango

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kilindoni-Bomani Street

    Anuani ya posta: 85

    Simu: 0232010199

    Simu ya mkononi:

    Baruapepe: ded.mafia@pwani.go.tz / ded@mafiadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Katazo
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma namba 1
    • YOUTUBE

Copyright ©2017 Mafia District Council . All rights reserved.