• Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mafia District Council
Mafia District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Ardhi, Mipango miji na Maliasili
      • Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
        • Kitengo cha Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi na Zima Mmoto
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango na Takwimu
    • Vitengo
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Tehama
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Huduma za jamii
      • Maadili
      • Fedha, Utawala, na Mipango
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Kujua Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
      • YOUTUBE
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MAAFISA WAANDIKISHAJI WATAKIWA KUWA MSTARI WA MBELE KUHAMASISHA UBORESHAJI WA TAARIFA

Posted on: February 7th, 2025

Maafisa Waandikishaji ngazi ya kata wametakiwa kutoa hamasa katika maeneo yao ili wananchi waweze kushiriki ipasavyo katika zoezi la uboreshaji wa taarifa katika daftari la kudumu la mpiga kura.

Hayo yamesemwa leo Februari 7, 2025 na Afisa Mwandikishaji wa Wilaya Ndg. Mohammed Hussein alivyokuwa akifunga mafunzo ya siku mbili kwa waandikishaji Wasaidizi ngazi ya kata akiwasisitiza kushirikiana na wadau mbalimbali kuhakikisha wananchi wenye sifa wanajitokeza na kupata haki yao ya msingi ya kikatiba ili waweze kuchagua viongozi wao.

Mafunzo hayo yaliyoanza Februari 6, 2025 yamelenga kutoa uelewa na ujuzi maalum kwa maafisa waandikishaji wasaidizi ili waweze kutekeleza kwa nadharia na vitendo yale yote yaliyofundishwa.

Zoezi la uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura linatarajiwa kuanza Februari 13 na kukamilika ifikapo Februari 19, 2025.

" Kujiandikisha Kuwa Mpiga Kura ni Msingi wa Uchaguzi Bora ".


Matangazo

  • MWALIKO WA KUHUDHURIA BARAZA LA KWANZA LA MADIWANI November 29, 2025
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • CHUO CHA VETA MAFIA CHATOA WAHITIMU KWA MARA YA KWANZA TANGU KUANZISHWA

    November 23, 2025
  • WITO WATOLEWA KWA WADAU KUSHIRIKIANA NA SERIKALI KUBORESHA ELIMU

    November 21, 2025
  • JITIHADA ZAIDI ZAHITAJIKA KUBORESHA MASUALA YA LISHE WILAYANI MAFIA

    November 14, 2025
  • WANUFAIKA WAASWA KUTUMIA MIKOPO YA ASILIMIA 10 KWA MALENGO YALIYOKUSUDIWA

    November 13, 2025
  • Tazama zote

Video

USIKOSE KUWA SEHEMU YA TUKIO HILI MUHIMU KIHISTORIA
Tazama Video zaidi

Viungo vya haraka

  • Home
  • Photo Gallery
  • FAQ
  • Tourism
  • Investment
  • MATOKEO YA STD VII 2022

Viungo vinavyohusiana

  • OR- TAMISEMI
  • OR- Menejimenti Utumishi wa Umma
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya ajira katika Utumishi wa Umma
  • Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi
  • Wizara ya Fedha na Mipango

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kilindoni-Bomani Street

    Anuani ya posta: 85

    Simu: 0232010199

    Simu ya mkononi:

    Baruapepe: ded.mafia@pwani.go.tz / ded@mafiadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Katazo
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma namba 1
    • YOUTUBE

Copyright ©2017 Mafia District Council . All rights reserved.