• Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mafia District Council
Mafia District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Ardhi, Mipango miji na Maliasili
      • Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
        • Kitengo cha Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi na Zima Mmoto
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango na Takwimu
    • Vitengo
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Tehama
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Huduma za jamii
      • Maadili
      • Fedha, Utawala, na Mipango
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Kujua Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
      • YOUTUBE
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MAFIA YATARAJIA KUPOKEA WATUMISHI WAPYA KUANZIA JANUARI 2026

Posted on: December 13th, 2025

Halmashairi ya Wilaya ya Mafia inatarajia kupokea watumishi wapya wa sekta ya elimu kufuatia ahadi iliyotolewa na Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, TAMISEMI anayeshughulikia Elimu, Mhe. Reuben Kwagilwa wakati wa ziara yake wilayani Mafia Desemba 13, 2025.

Akizungumza na wananchi katika kitongoji cha Mwawani ambapo ujenzi wa shule mpya ya msingi unaendelea, Mhe. Kwagilwa ameeleza kuwa kati ya ajira 12,000 zinazotarajiwa kutolewa na Serikali nchini, wilaya ya Mafia itanufaika kwa kiasi kikubwa ili kutatua tatizo la uhaba wa walimu.

" Tunatarajia kutoa ajira 12,000 za walimu nchini, zoezi hili litafanyika kwa awamu ambapo miongoni mwa ajira 7000 katika awamu ya kwanza, Mafia itanufaika kwa kupangiwa walimu ili kutatua changamoto ya uhaba wa walimu" alieleza. Mhe. Rais ameleta fedha nyingi kujenga shule ili kusaidia wanafunzi kutosafiri umbali mrefu, hivyo hatuwezi kuacha miundombinu hii ibaki bila walimu" aliongeza.

Katika hatua nyingine ya kutatua changamoto katika sekta ya Elimu, Mhe. Kwagilwa ameitaka TARURA wilayani Mafia kuharakisha mchakato wa ujenzi wa barabara ya KM 5 itakayorahisisha ufikaji shuleni hapo na maeneo mengine ya Kitongoji.


Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI YA UWAKALA WA KUKUSANYA MAPATO January 27, 2026
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • WASIMAMIZI WA MIRADI WATAKIWA KUFUATA MIONGOZO YA SERIKALI KATIKA UTEKELEZAJI

    January 02, 2026
  • USHIRIKISHWAJI WA JAMII NI NGUZO KUBWA YA UTUNZAJI WA RASILIMALI ZA BAHARI

    December 30, 2025
  • NAMNA JAMII INAVYOSHIRIKI KATIKA UTUNZAJI WA MAZINGIRA

    December 28, 2025
  • JITIHADA ZA UHIFADHI ZALETA MATUMAINI KWA WAKAZI WA JIMBO

    December 18, 2025
  • Tazama zote

Video

WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA WAPEWA MSAADA WA VIFAA VYA SHULE
Tazama Video zaidi

Viungo vya haraka

  • Home
  • Photo Gallery
  • FAQ
  • Tourism
  • Investment
  • MATOKEO YA STD VII 2022

Viungo vinavyohusiana

  • OR- TAMISEMI
  • OR- Menejimenti Utumishi wa Umma
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya ajira katika Utumishi wa Umma
  • Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi
  • Wizara ya Fedha na Mipango

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kilindoni-Bomani Street

    Anuani ya posta: 85

    Simu: 0232010199

    Simu ya mkononi:

    Baruapepe: ded.mafia@pwani.go.tz / ded@mafiadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Katazo
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma namba 1
    • YOUTUBE

Copyright ©2017 Mafia District Council . All rights reserved.