• Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mafia District Council
Mafia District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Ardhi, Mipango miji na Maliasili
      • Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
        • Kitengo cha Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi na Zima Mmoto
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango na Takwimu
    • Vitengo
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Tehama
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Huduma za jamii
      • Maadili
      • Fedha, Utawala, na Mipango
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Kujua Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
      • YOUTUBE
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MAKUNDI MAALUM YAJENGEWA UWEZO KUSHIRIKI UCHAGUZI MKUU

Posted on: October 24th, 2025

Shirika la ActionAid Tanzania kupitia ActionAid Mafia LRP na Global Platform Tanzania wakiambatana na ofisi ya mkuu wa wilaya Mafia wameendesha zoezi la utoaji elimu ya mpiga kura kwa makundi ya watu wenye ulemavu ili kuwawezesha kupiga kura kwa usahihi. 

Zoezi hili lililofanyika Oktoba 23, 2025 kwa ushirikiano na ofisi ya msimamizi wa uchaguzi jimbo la Mafia, limejumuisha wanufaika kutoka kata zote nane za wilaya ya Mafia. 

Aidha kupitia kampeni hiyo,  ActionAid Tanzania wametoa wito kwa makundi hayo pamoja na jamii kwa ujumla kutumia haki yao ya kikatiba kwa kuchagua viongozi wao watakaochangia kuleta maendeleo katika Taifa. 

" Kura Yako Haki Yako, Jitokeze Kupiga Kura "


Matangazo

  • MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO; WASIMAMIZI WASAIDIZI NA MAKARANI (UCHAGUZI MKUU, 2025) October 20, 2025
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • MAKUNDI MAALUM YAJENGEWA UWEZO KUSHIRIKI UCHAGUZI MKUU

    October 24, 2025
  • CWT YASHEREHEKEA NA WALIMU MAFIA

    October 20, 2025
  • WAVUVI NA WAMILIKI WA VYOMBO WAASWA KUZINGATIA SHERIA KUEPUKA MIGOGORO NA SERIKALI

    October 17, 2025
  • MAFIA YAADHIMISHA JUMA LA ELIMU YA WATU WAZIMA

    October 09, 2025
  • Tazama zote

Video

USIKOSE KUWA SEHEMU YA TUKIO HILI MUHIMU KIHISTORIA
Tazama Video zaidi

Viungo vya haraka

  • Home
  • Photo Gallery
  • FAQ
  • Tourism
  • Investment
  • MATOKEO YA STD VII 2022

Viungo vinavyohusiana

  • OR- TAMISEMI
  • OR- Menejimenti Utumishi wa Umma
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya ajira katika Utumishi wa Umma
  • Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi
  • Wizara ya Fedha na Mipango

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kilindoni-Bomani Street

    Anuani ya posta: 85

    Simu: 0232010199

    Simu ya mkononi:

    Baruapepe: ded.mafia@pwani.go.tz / ded@mafiadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Katazo
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma namba 1
    • YOUTUBE

Copyright ©2017 Mafia District Council . All rights reserved.