• Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mafia District Council
Mafia District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Ardhi, Mipango miji na Maliasili
      • Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
        • Kitengo cha Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi na Zima Mmoto
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango na Takwimu
    • Vitengo
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Tehama
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Huduma za jamii
      • Maadili
      • Fedha, Utawala, na Mipango
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Kujua Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
      • YOUTUBE
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MHE. MANGOSONGO AZINDUA UVUNAJI WA JONGOO BAHARI

Posted on: July 30th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Mafia, Mhe. Aziza Mangosongo amezindua uvunaji wa jongoo bahari katika kitalu kilichopo kijiji cha Dongo, kitongoji cha Mfuruni Julai 30, 2024.

Uvunaji huo wa jongoo bahari umezinduliwa rasmi kwa mara ya kwanza ambapo Mhe. Mangosongo amempongeza mfugaji wa jongoo bahari, mzee Mpogo kwa mchango wake wa kendeleza uchumi wa buluu pamoja na kuleta fursa ya ajira kwa vijana.

" Tumevutiwa sana, vijana wengi wangepatiwa elimu na kujishughulisha na ufugaji wa jongoo bahari, basi wangejikwamua na tatizo la ajira. Kwa upande mwengine, mradi huu unatunza mazingira na ndivyo ambavyo viongozi wetu, hasa Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan anavyotutaka kujikita katika uchumi wa buluu na kutunza mazingira" alisema Mhe. Mangosongo.


Kwa upande wake, Mfugaji wa jongoo bahari Mzee Waziri Mpogo, ameipongeza Serikali kupitia Ofisi ya Mkuu wa Wilaya na Halmashauri kwa kutoa ushirikiano kuwezesha fursa hiyo kuwepo pamoja na kuwaomba wakazi wa Mafia wajitokeze kufanya shughuli hiyo ili kuifungua wilaya zaidi kwenye suala la uchumi wa buluu.

Lengo langu ni kutaka wafugaji wadogo wadogo waweze kupata mbegu hapahapa Wilayani badala ya kuzifuata Bagamoyo ama sehemu nyingine" alisema Mzee Mpogo. Nimepata faraja pia kuona mazingira yapo salama kwa sababu mradi huu unasaidia kutunza mazingira, hivyo nawaomba viongozi na wananchi wote tushirikiane katika kukuza uchumi wa buluu" aliongeza.

Mradi huo uliogharimu Shilingi Milioni 176, umekuwa msaada kwa vijana kwa kuwasaidia kuwapa fursa ya ajira.

" Nawaomba vijana wenzangu kujitokeza katika mradi huu badala ya kujishughulisha na mambo ya uhalifu, tunaweza pia kuunda kikundi chetu na kujikwamua kiuchumi" alisema Salum Alawi, kijana anayefanya kazi katika kampuni ya Mpogo Ocean Ranching inayojihusisha na ufugaji wa jongoo bahari.


Matangazo

  • TANGAZO: NAFASI ZA KAZI ZA MUDA; UCHAGUZI MKUU July 02, 2025
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • VETA YATOA MAFUNZO KWA MAMA LISHE ZAIDI YA 200 WA KATA YA KILINDONI

    June 17, 2025
  • JITIHADA ZIONGEZWE KUTOKOMEZA MALARIA

    June 17, 2025
  • MARUFUKU UTOAJI WA AJIRA KWA WATOTO; AONYA DC MANGOSONGO

    June 16, 2025
  • WANANCHI WAASWA KUJALI AFYA ZAO KUEPUKA MADHARA MAKUBWA YANAYOWEZA KUTOKEA

    June 14, 2025
  • Tazama zote

Video

Kisiwa cha Mafia ndani ya SGR
Tazama Video zaidi

Viungo vya haraka

  • Home
  • Photo Gallery
  • FAQ
  • Tourism
  • Investment
  • MATOKEO YA STD VII 2022

Viungo vinavyohusiana

  • OR- TAMISEMI
  • OR- Menejimenti Utumishi wa Umma
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya ajira katika Utumishi wa Umma
  • Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi
  • Wizara ya Fedha na Mipango

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kilindoni-Bomani Street

    Anuani ya posta: 85

    Simu: 0232010199

    Simu ya mkononi:

    Baruapepe: ded.mafia@pwani.go.tz / ded@mafiadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Katazo
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma namba 1
    • YOUTUBE

Copyright ©2017 Mafia District Council . All rights reserved.