• Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mafia District Council
Mafia District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Ardhi, Mipango miji na Maliasili
      • Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
        • Kitengo cha Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi na Zima Mmoto
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango na Takwimu
    • Vitengo
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Tehama
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Huduma za jamii
      • Maadili
      • Fedha, Utawala, na Mipango
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Kujua Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
      • YOUTUBE
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MILIONI 466 KUTOLEWA KWA VIKUNDI 60 VYA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI

Posted on: January 29th, 2025

Kiasi cha Shilingi Milioni 466 zinatarajiwa kutolewa kwa vikundi 60 vya Wanawake,  Vijana na Watu wenye Ulemavu ikiwa ni mikopo ya asilimia 10 kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Mafia. 

Akikabidhi hundi kwa vikundi vya wanufaika wa mkopo leo Januari 29, 2025, Mkuu wa Wilaya ya Mafia Mhe. Aziza Mangosongo amesema kwamba Serikali inatarajia wananchi kupiga hatua kubwa kiuchumi baada ya kuwezeshwa kupitia mikopo hiyo kwa wananchi kuhakikisha wanatumia fedha kwa malengo yaliyotarajiwa. 

" Ikitokea mmefanya tofauti na malengo ya mikopo hii, mtakuwa mmekwenda tofauti na nia ya Mhe. Rais Dkt.  Samia Suluhu Hassan pamoja na kamati ya uhakiki wa mikopo, hivyo hakikisheni mikopo hii inatumika kama ilivyokusudiwa pamoja na kufanya marejesho" alisema Mhe. Mangosongo. 

Kwa upande wake, Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe. Juma Salum amewataka wanufaika wa mikopo ya asilimia 10 kuhakikisha wanafuata taratibu zilizowekwa katika kufanya biashara zao ikiwemo ulipaji wa leseni za biashara pamoja na ushuru ili wananchi wengine nao waweze kunufaika. 

Wanufaika wa mikopo hiyo wametoa pongezi na kuishukuru Serikali kupitia Halmashauri ya Wilaya ya Mafia kwa kuendelea kutenga fedha kwa ajili ya wananchi na kuahidi kuwa watakuwa waaminifu katika marejesho. 

" Kabla ya kupata mkopo nilikuwa na msingi mdogo, ila nikapata taarifa kuwa kuna mikopo ya asilimia 10 kutoka Halmashauri, hivyo nikahamasika kufanya maombi na kufanikiwa kupata na nikarejesha kwa wakati, na hivi sasa nimeomba tena" alieleza Haji Mwarabu, mfanyabiashara wa samaki mwenye ulemavu kutoka kata ya Kanga, kijiji cha Bweni. " Natoa wito kwa wananchi wenzangu kuomba mkopo na kurudisha kwa wakati" aliongeza. 

Halmashauri ya Wilaya ya Mafia inatarajia kufungua dirisha la pili la uombaji wa mikopo ya asilimia 10 ifikapo Januari 31, 2025. 


Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KULIPIA VIWANJA May 20, 2025
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • WITO WATOLEWA KWA WATOTO WA KIKE KUPENDA MASOMO YA SAYANSI

    May 17, 2025
  • MAFIA KUUNGANISHWA NA UMEME WA GRIDI YA TAIFA

    May 16, 2025
  • WANANCHI WAASWA KUJITOKEZA KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 16, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LARIDHIA KUANZISHWA KWA MRADI WA UONGEZAJI THAMANI ZAO LA DAGAA

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

MWENGE WA UHURU WAPONGEZA VIWANGO VYA BARABARA YA MSUFINI
Tazama Video zaidi

Viungo vya haraka

  • Home
  • Photo Gallery
  • FAQ
  • Tourism
  • Investment
  • MATOKEO YA STD VII 2022

Viungo vinavyohusiana

  • OR- TAMISEMI
  • OR- Menejimenti Utumishi wa Umma
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya ajira katika Utumishi wa Umma
  • Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi
  • Wizara ya Fedha na Mipango

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kilindoni-Bomani Street

    Anuani ya posta: 85

    Simu: 0232010199

    Simu ya mkononi:

    Baruapepe: ded.mafia@pwani.go.tz / ded@mafiadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Katazo
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma namba 1
    • YOUTUBE

Copyright ©2017 Mafia District Council . All rights reserved.