• Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mafia District Council
Mafia District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Ardhi, Mipango miji na Maliasili
      • Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
        • Kitengo cha Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi na Zima Mmoto
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango na Takwimu
    • Vitengo
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Tehama
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Huduma za jamii
      • Maadili
      • Fedha, Utawala, na Mipango
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Kujua Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
      • YOUTUBE
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MKURUGENZI MTENDAJI (W) AKUTANA NA WATOA HUDUMA

Posted on: August 31st, 2021

Mnamo tarehe 27/8/2021 , Mkurugenzi Mtendaji (W) Mwl. Kassim S. Ndumbo alifanya kikao na wazabuni , watoa huduma pamoja na wafanyabiashara waliopo Wilayani Mafia ambao ndo wadau wakubwa wa Maendeleo.Aliwaasa  kukuza mitaji yao ili kukidhi mahitaji ya tenda wanazopewa, kushirikiana, kuleta bidhaa zenye ubora na viwango elekezi, wasiwe kikwazo Cha kukwamisha miradi kwa kuchelewesha bidhaa agizwa, kuwa matumizi sahihi ya lugha kati ya wauzaji na wanunuzi (zisizokwaza) pia kuwa na wasimamizi wenye utaalamu na wanaojua taratibu za manunuzi ya Umma Kama quotation n.k

Kwa upande wa wafanyabiashara walitoa maoni yao kuwa taarifa ya kikao hicho walichelewa kuipata hivyo kupelekea wadau wengi kushindwa kuhudhuria walimuomba  Mkurugenzi aandae tena kikao kama hicho na awape taarifa mapema ili wapate muda wa kujiandaa na kuhudhuria kikao hicho kwa wingi.


 Aidha katika kikao hicho alialikwa pia Mkuu wa Wilaya ya Mafia Mh. Eng. Martin Mtemo na aliwashauri wawe na uongozi wao kwa wakati huu waunde wa mpito ili taarifa ziwafikie kirahisi
Pili ianzishwe redio ya jamii itakayoweza  kurahisisha mawasiliano
Tatu, wafanyabiashara biashara waunganishe nguvu ili kuweza kufanya kazi kubwa pindi inapotokea
Nne, wawe na madaftari ya kutunzia kumbukumbu za manunuzi na mauzo pia wakati wa kuchukua zabuni waweke tahadhari (business risk) za usafirishaji wa bidhaa, bima, dharura
Tano, Kuwa na vikao (forum) za wafanyabiashara kwa ajili ya kufundishana na kuelekezana namna za kufanya biashara.
Mwisho aliwaondoa hofu kuwa halmashauri inafunga mikataba inapokuwa na fedha na kwa Sasa Mafia Ina miradi ya takriban bilioni tano ( 05)

Kutoka ofisi ya Mbunge aliwaomba viongozi na wafanyabiashara kumuunga mkono mwakilishi wao bungeni kwa kutumia vizuri na kwa wakati fedha inayoletwa Wilayani .Mwisho walikubaliana tarehe ya kikao kuwa jumatatu ya tarehe 13/09/2021 saa 4:00 asubuhi na wenye agenda za kujadiliwa zifikishwe kwa sekretarieti .

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KULIPIA VIWANJA May 20, 2025
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • WITO WATOLEWA KWA WATOTO WA KIKE KUPENDA MASOMO YA SAYANSI

    May 17, 2025
  • MAFIA KUUNGANISHWA NA UMEME WA GRIDI YA TAIFA

    May 16, 2025
  • WANANCHI WAASWA KUJITOKEZA KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 16, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LARIDHIA KUANZISHWA KWA MRADI WA UONGEZAJI THAMANI ZAO LA DAGAA

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

MWENGE WA UHURU WAPONGEZA VIWANGO VYA BARABARA YA MSUFINI
Tazama Video zaidi

Viungo vya haraka

  • Home
  • Photo Gallery
  • FAQ
  • Tourism
  • Investment
  • MATOKEO YA STD VII 2022

Viungo vinavyohusiana

  • OR- TAMISEMI
  • OR- Menejimenti Utumishi wa Umma
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya ajira katika Utumishi wa Umma
  • Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi
  • Wizara ya Fedha na Mipango

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kilindoni-Bomani Street

    Anuani ya posta: 85

    Simu: 0232010199

    Simu ya mkononi:

    Baruapepe: ded.mafia@pwani.go.tz / ded@mafiadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Katazo
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma namba 1
    • YOUTUBE

Copyright ©2017 Mafia District Council . All rights reserved.