• Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mafia District Council
Mafia District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Ardhi, Mipango miji na Maliasili
      • Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
        • Kitengo cha Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi na Zima Mmoto
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango na Takwimu
    • Vitengo
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Tehama
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Huduma za jamii
      • Maadili
      • Fedha, Utawala, na Mipango
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Kujua Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
      • YOUTUBE
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Mkurugenzi Mtendaji (W) Mafia amewaasa mawakala kufanya kazi kwa uaminifu.

Posted on: October 14th, 2022

Mkurugenzi Mtendaji (W) Bw. Kassim S Ndumbo alifanya kikao na mawakala wa kukusanya ushuru wa Halmashauri siku ya Kumbukumbu ya baba wa Taifa tarehe 14/10/2022.


 Katika kikao hicho  walihudhuria pia maafisa kutoka kitengo cha  Fedha na Uhasibu , Utumishi na utawala,  Mipango na uratibu, kitengo cha TEHAMA na Kitengo cha Manunuzi

Katika kikao hicho Mkurugenzi  aliwapongeza mawakala  na watendaji wote wanaofanya Vizuri katika kukusanya ushuru wa halmashauri kupitia vyanzo mbalimbali kwa kufanikisha  kuvuka lengo la makusanyo kwa mwaka wa fedha 2021/2022  kwani juhudi yao ndiyo iliyofanikisha kufikia lengo na kuvuka


Aliwaasa  kuipenda kazi yao  kukusanya mapato ya halmashauri na kuifanya kwa uaminifu kwani ndiyo inayowapatia riziki na kusisitiza  atakayebainika anafanya njama yoyote ili kukwepa ushuru hatavumiliwa.


Kuweka pesa benki kwa wakati kwa sheria ya fedha inavyotaka na kuondoa hoja za ukaguzi na pia matumizi ya fedha mbichi.

Ikitokea wakala amepata dharura yoyote itakayomfanya ashindwe kukusanya ushuru basi atoe taarifa ofisi ya mwekahazina kwani mashine ikionekana haifanyi kazi (offline) zinaleta hoja za ukaguzi


 Aliendelea kusema pia  fedha ya mapato ya ndani wanayokusanya 40% inarudi kufanya miradi ya maendeleo  ambapo  tayari machinjio , soko la samaki kilindoni yamefanyiwa ukarabati mkubwa,  madawati yametengenezwa na kusambazwa shuleni,  na  mradi tarajiwa wa kutengeneza  daraja la kwa msomanga tayari fedha zimetengwa.


 Aidha Afisa TEHAMA (W)  aliwaasa kuwa waangalifu na kufanya kazi kwa umakini mkubwa kuepuka kukosea muamala na kukagua rola kabla ya kutoa risiti na kama ikitokea bahati mbaya umekosea kukata muamala aidha kuzidisha pesa  ama hitilafu yoyote katika mashine  itakayosababisha muamala kusoma pesa kubwa ama risiti kutoka mara mbili watoe taarifa na wafuate taratibu wa kufuta muamala huo kabla ya kuweka benki fedha ili kuepuka usumbufu  wa kushindwa kuweka pesa kwa wakati


Kwa upande wa mawakala walisema wanamshukuru Mkurugenzi Mtendaji (W) kwa kuona umuhimu wa kuwakutanisha pia walitoa mapendekezo ya vyanzo vipya  ambavyo bado havikusanywi vikiwemo mafuta ya nazi na vyuma chakavu 


Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KULIPIA VIWANJA May 20, 2025
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • WITO WATOLEWA KWA WATOTO WA KIKE KUPENDA MASOMO YA SAYANSI

    May 17, 2025
  • MAFIA KUUNGANISHWA NA UMEME WA GRIDI YA TAIFA

    May 16, 2025
  • WANANCHI WAASWA KUJITOKEZA KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 16, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LARIDHIA KUANZISHWA KWA MRADI WA UONGEZAJI THAMANI ZAO LA DAGAA

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

MWENGE WA UHURU WAPONGEZA VIWANGO VYA BARABARA YA MSUFINI
Tazama Video zaidi

Viungo vya haraka

  • Home
  • Photo Gallery
  • FAQ
  • Tourism
  • Investment
  • MATOKEO YA STD VII 2022

Viungo vinavyohusiana

  • OR- TAMISEMI
  • OR- Menejimenti Utumishi wa Umma
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya ajira katika Utumishi wa Umma
  • Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi
  • Wizara ya Fedha na Mipango

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kilindoni-Bomani Street

    Anuani ya posta: 85

    Simu: 0232010199

    Simu ya mkononi:

    Baruapepe: ded.mafia@pwani.go.tz / ded@mafiadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Katazo
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma namba 1
    • YOUTUBE

Copyright ©2017 Mafia District Council . All rights reserved.