• Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mafia District Council
Mafia District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Ardhi, Mipango miji na Maliasili
      • Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
        • Kitengo cha Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi na Zima Mmoto
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango na Takwimu
    • Vitengo
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Tehama
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Huduma za jamii
      • Maadili
      • Fedha, Utawala, na Mipango
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Kujua Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
      • YOUTUBE
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

TUNADUMISHA NA KUENZI TAMADUNI ZETU

Posted on: July 13th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Mafia Mhe. Aziza Mangosongo ameshiriki mchezo wa bao la kete pamoja na wananchi wa kata ya Kilindoni katika mashindano aliyoandaa kwa lengo la kudumisha utamaduni, upendo pamoja na mahusiano mazuri katika jamii.

Mashindano hayo yamedumu kwa siku mbili kuanzia Julai 12 hadi 13, 2025 na kuhusisha washiriki 40 waliounda timu 10 kutoka maeneo mbalimbali ya kata ya Kilindoni huku wakishindania nafasi tatu.

Mhe. Mangosongo amewashukuru washiriki wote kwa kujitokeza na kuwa tayari kuenzi tamaduni na kuhakikisha wanadumisha upendo, umoja na amani katika jamii pamoja na kuunga mkono juhudi za Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan za kuhakikisha masuala ya michezo na utamaduni yanapatiwa kipaumbele.

Aidha, ameeleza kuwa Serikali itaendelea kushirikiana na wadau mbalimbali na wananchi kwa ujumla katika masuala ya michezo na kuahidi kuwa mashindano hayo yatakuwa endelevu na hatua itakayofuata ni kuandaa mashindano hayo katika kata ya Kirongwe na baadaye kuendesha mashindano kiwilaya.


Matangazo

  • TANGAZO: NAFASI ZA KAZI ZA MUDA; AFISA MIFUGO MSAIDIZI July 14, 2025
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • MAFIA YAJIANDAA NA KAMPENI YA CHANJO NA UTAMBUZI WA MIFUGO

    July 17, 2025
  • KKKT NA NCA YAHITIMISHA MRADI WA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA WILAYANI MAFIA

    July 16, 2025
  • TUNADUMISHA NA KUENZI TAMADUNI ZETU

    July 13, 2025
  • WATUMISHI NA WANANCHI WAUNGANA KUHAMASISHA UJENZI WA SHULE

    July 12, 2025
  • Tazama zote

Video

KARIBU PWANI MHE. RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN
Tazama Video zaidi

Viungo vya haraka

  • Home
  • Photo Gallery
  • FAQ
  • Tourism
  • Investment
  • MATOKEO YA STD VII 2022

Viungo vinavyohusiana

  • OR- TAMISEMI
  • OR- Menejimenti Utumishi wa Umma
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya ajira katika Utumishi wa Umma
  • Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi
  • Wizara ya Fedha na Mipango

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kilindoni-Bomani Street

    Anuani ya posta: 85

    Simu: 0232010199

    Simu ya mkononi:

    Baruapepe: ded.mafia@pwani.go.tz / ded@mafiadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Katazo
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma namba 1
    • YOUTUBE

Copyright ©2017 Mafia District Council . All rights reserved.