• Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mafia District Council
Mafia District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Ardhi, Mipango miji na Maliasili
      • Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
        • Kitengo cha Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi na Zima Mmoto
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango na Takwimu
    • Vitengo
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Tehama
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Huduma za jamii
      • Maadili
      • Fedha, Utawala, na Mipango
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Kujua Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
      • YOUTUBE
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

UFUNGUZI WA MIAMBA YA UTUNZAJI WA PWEZA

Posted on: August 17th, 2023

Utunzaji wa mazalia ya samaki una manufaa mengi endapo utapatiwa kipaumbele ili unufaishe jamii na kuleta mapato serikalini pamoja na kuinua uchumi wa wananchi.


Kwa kutambua na kuizingatia dhana ya uchumi wa buluu, Halmashauri ya Wilaya ya Mafia kwa kushirikiana na Shirika la Uhifadhi wa Mazingira Duniani (WWF) inafanya jitihada za kuelimisha wananchi umuhimu wa uhifadhi wa bahari kwa shughuli za kiuchumi.


Kijiji cha Jojo kilichopo wilayani Mafia ni sehemu mojawapo ambapo wananchi wanaelewa umuhimu wa kutunza miamba ili kupata mazalia mengi ya pweza. Zaidi ya kilo 2150 za pweza zimevuliwa katika kijiji hicho, uvunaji ambao utaleta mafanikio mazuri kiuchumi.


"Zaidi ya asilimia 78.8 ya mapato kwa mwaka 2022/2023 wilayani Mafia imetokana na mazao ya bahari, ambapo Bilioni 1.3 zimekusanywa, hivyo ni muhimu kwetu kuitunza miamba na mazingira kwa ujumla ili tuone umuhimu wa dhana ya uchumi wa buluu" alisema  Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia, Mwl. Kassim Ndumbo.


Shirika la Uhifadhi wa Mazingira duniani (WWF) limekuwa likitoa elimu kwa jamii kutunza miamba ya mazalia ambapo kila baada ya miezi mitatu wananchi wanahamasishwa kutovua ili mazalia yapate kuongezeka.


Utunzaji na uhifadhi wa mazingira ni muhimu kwa rasilimali endelevu kwa kizazi cha sasa na kijacho katika kukuza uchumi wa wananchi na taifa kiujumla, hivyo natoa wito kwa wananchi wa Jojo na Mafia yote kwa ujumla kuhifadhi na kutunza bahari yetu" alisema Japhet Masigo, Mratibu wa Shirika la WWF wilaya ya Mafia.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KULIPIA VIWANJA May 20, 2025
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • WITO WATOLEWA KWA WATOTO WA KIKE KUPENDA MASOMO YA SAYANSI

    May 17, 2025
  • MAFIA KUUNGANISHWA NA UMEME WA GRIDI YA TAIFA

    May 16, 2025
  • WANANCHI WAASWA KUJITOKEZA KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 16, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LARIDHIA KUANZISHWA KWA MRADI WA UONGEZAJI THAMANI ZAO LA DAGAA

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

MWENGE WA UHURU WAPONGEZA VIWANGO VYA BARABARA YA MSUFINI
Tazama Video zaidi

Viungo vya haraka

  • Home
  • Photo Gallery
  • FAQ
  • Tourism
  • Investment
  • MATOKEO YA STD VII 2022

Viungo vinavyohusiana

  • OR- TAMISEMI
  • OR- Menejimenti Utumishi wa Umma
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya ajira katika Utumishi wa Umma
  • Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi
  • Wizara ya Fedha na Mipango

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kilindoni-Bomani Street

    Anuani ya posta: 85

    Simu: 0232010199

    Simu ya mkononi:

    Baruapepe: ded.mafia@pwani.go.tz / ded@mafiadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Katazo
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma namba 1
    • YOUTUBE

Copyright ©2017 Mafia District Council . All rights reserved.