• Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mafia District Council
Mafia District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Ardhi, Mipango miji na Maliasili
      • Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
        • Kitengo cha Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi na Zima Mmoto
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango na Takwimu
    • Vitengo
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Tehama
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Huduma za jamii
      • Maadili
      • Fedha, Utawala, na Mipango
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Kujua Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
      • YOUTUBE
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

UMEME WAZINDULIWA RASMI KISIWANI CHOLE

Posted on: July 23rd, 2024

Shirika la Usambazaji Umeme Tanzania (TANESCO) limezindua rasmi umeme katika kisiwa cha Chole kilichopo kata ya Jibondo Wilayani Mafia kufuatia kukamilika kwa mradi uliotekelezwa kwa muda wa mwaka mmoja.

Mradi huo ulioanza kutekelezwa kuanzia Julai 2023 unatarajiwa kusambaza umeme katika visiwa vingine vilivyobaki vya Juani na Jibondo kwa hatua nyingine na kugharimu kiasi cha Shilingi Bilioni 3.2 hadi utakapokamilika.

Akizungumza wakati wa uzinduzi, mgeni rasmi ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Mafia na Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe. Omar Kipanga amemshukuru Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha kwa ajili ya utekelezaji wa mradi.

" Tumshukuru Mhe. Rais kwa kukubali kutoa fedha pamoja na kuziimarisha taasisi zake ili kusimamia mradi huu" alisema Mhe. Kipanga. " Tunawashukuru pia TANESCO na Mkandarasi wetu kwa kusimamia vizuri mradi na kukamilika kwa wakati, inabidi tuwe walinzi wa kwanza wa miundombinu hii ya umeme ili itunufaishe sisi na vizazi vingine" alieleza.

Kwa upande wake, Mwenyekiti wa Kijiji cha chole, Ndugu Ally Mgeni ameshukuru kwa hatua hiyo na kueleza umuhimu wa upatikanaji wa umeme kwa kuimarisha huduma za kiuchumi na kijamii zikiwemo Afya, na Elimu.

Lengo la mradi huo ni kuhakikisha kwamba kaya zaidi ya 1000 katika vijiji vyote vitatu vinaunganishwa umeme pindi utakaposambazwa kote.

"Sasa hivi tunashukuru kwa kufika umeme kisiwani kwetu maana kabla ya kupata umeme tulikuwa na matatizo mengi, ila kwa sasa tunaamini biashara zitaongezeka na huduma za afya na shule zitakuwa vizuri, tunaishukuru sana Serikali kwa hatua hii" alisema mzee Halfani, mkazi wa kijiji cha Chole.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KULIPIA VIWANJA May 20, 2025
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • WITO WATOLEWA KWA WATOTO WA KIKE KUPENDA MASOMO YA SAYANSI

    May 17, 2025
  • MAFIA KUUNGANISHWA NA UMEME WA GRIDI YA TAIFA

    May 16, 2025
  • WANANCHI WAASWA KUJITOKEZA KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 16, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LARIDHIA KUANZISHWA KWA MRADI WA UONGEZAJI THAMANI ZAO LA DAGAA

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

MWENGE WA UHURU WAPONGEZA VIWANGO VYA BARABARA YA MSUFINI
Tazama Video zaidi

Viungo vya haraka

  • Home
  • Photo Gallery
  • FAQ
  • Tourism
  • Investment
  • MATOKEO YA STD VII 2022

Viungo vinavyohusiana

  • OR- TAMISEMI
  • OR- Menejimenti Utumishi wa Umma
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya ajira katika Utumishi wa Umma
  • Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi
  • Wizara ya Fedha na Mipango

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kilindoni-Bomani Street

    Anuani ya posta: 85

    Simu: 0232010199

    Simu ya mkononi:

    Baruapepe: ded.mafia@pwani.go.tz / ded@mafiadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Katazo
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma namba 1
    • YOUTUBE

Copyright ©2017 Mafia District Council . All rights reserved.