• Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mafia District Council
Mafia District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Ardhi, Mipango miji na Maliasili
      • Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
        • Kitengo cha Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi na Zima Mmoto
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango na Takwimu
    • Vitengo
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Tehama
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Huduma za jamii
      • Maadili
      • Fedha, Utawala, na Mipango
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Kujua Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
      • YOUTUBE
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

UPATIKANAJI WA MAJI WILAYANI WAFIKIA ASILIMIA 77

Posted on: July 24th, 2024

Serikali kupitia Wakala wa Maji Safi na Usafi wa Mazingira Vijijini ( RUWASA) imeendelea kuboresha huduma ya upatikanaji maji wilayani Mafia kwa kufika asilimia 77.

Hayo yameelezwa na Meneja wa RUWASA wilaya ya Mafia Mhandisi Clement Lyoto wakati wa kikao cha wadau wa maji kilichofanyika Julai 24, 2024 katika ukumbi wa Halmashauri uliopo Chicco.


Kikao hicho kilicholenga kujadili hali ya upatikanaji wa maji kisiwani, mapitio ya utekelezaji wa bajeti ya mwaka 2023/ 2024 na matarajio ya bajeti ya mwaka 2024/ 2025 kilikutanisha wadau toka taasisi mbalimbali za Serikali na zisizo za Serikali, viongozi wa Wilaya, Halmashauri, kata na vijiji, watoa huduma ya maji ngazi ya jamii ( CBWSO) na wananchi.

" Kwa sasa upatikanaji wa maji umefika asilimia 77 na tuna miradi 7 ambayo mingi kati ya hiyo ipo hatua za ukamilishaji, miradi miwili kati ya hiyo tunatarajia kuikamilisha mwezi huu" alieleza Mhandisi Lyoto. " Kwa lengo lile la kufika asilimia 85 kwa 2025, sisi tunategemea kuwa na asilimia 91 kwa vijijini na asilimia zaidi ya 95 kwa mjini" aliongeza.

Kwa upande wake, Mbunge wa Jimbo la Mafia na Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe. Omar Kipanga amemshukuru Mhe. Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kusikiliza na kutekeleza mahitaji ya wakazi wa Mafia pamoja na kushauri kuunganishwa kwa vyombo vya watoa huduma ya maji ngazi ya jamii ( CBWSO) ili kurahisisha utendaji.

Wilaya ya Mafia ina jumla ya vyombo 12 vya watoa huduma ya maji ambapo inatarajia kuwa na vyombo vinne baada ya kuviunganisha.

" Tuna Imani baada ya kuunganishwa vyombo hivi, itarahisisha utendaji kazi wetu na kuwafikia wananchi kwa wakati. Tunaomba kuongezewa uwezo ili tutumikie wananchi" alisema Bw. Yohana, katibu wa CBWSO kata ya Miburani.


Matangazo

  • MWALIKO WA KUHUDHURIA BARAZA LA KWANZA LA MADIWANI November 29, 2025
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • MAKUNDI MAALUM YAJENGEWA UWEZO KUSHIRIKI UCHAGUZI MKUU

    October 24, 2025
  • CWT YASHEREHEKEA NA WALIMU MAFIA

    October 20, 2025
  • WAVUVI NA WAMILIKI WA VYOMBO WAASWA KUZINGATIA SHERIA KUEPUKA MIGOGORO NA SERIKALI

    October 17, 2025
  • MAFIA YAADHIMISHA JUMA LA ELIMU YA WATU WAZIMA

    October 09, 2025
  • Tazama zote

Video

USIKOSE KUWA SEHEMU YA TUKIO HILI MUHIMU KIHISTORIA
Tazama Video zaidi

Viungo vya haraka

  • Home
  • Photo Gallery
  • FAQ
  • Tourism
  • Investment
  • MATOKEO YA STD VII 2022

Viungo vinavyohusiana

  • OR- TAMISEMI
  • OR- Menejimenti Utumishi wa Umma
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya ajira katika Utumishi wa Umma
  • Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi
  • Wizara ya Fedha na Mipango

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kilindoni-Bomani Street

    Anuani ya posta: 85

    Simu: 0232010199

    Simu ya mkononi:

    Baruapepe: ded.mafia@pwani.go.tz / ded@mafiadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Katazo
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma namba 1
    • YOUTUBE

Copyright ©2017 Mafia District Council . All rights reserved.