• Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mafia District Council
Mafia District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Ardhi, Mipango miji na Maliasili
      • Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
        • Kitengo cha Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi na Zima Mmoto
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango na Takwimu
    • Vitengo
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Tehama
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Huduma za jamii
      • Maadili
      • Fedha, Utawala, na Mipango
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Kujua Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
      • YOUTUBE
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

"UWEKEZAJI UZINGATIE MASLAHI YA WANANCHI" ASISITIZA DC MANGOSONGO

Posted on: March 26th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Mafia Mhe. Aziza Mangosongo amewataka wawekezaji  pamoja na wataalam katika taasisi mbalimbali za Kiserikali na zisizo za kiserikali kuhakikisha kwamba  wanazingatia maslahi ya wananchi kabla na wakati wa utekelezaji wa miradi mbalimbali katika jamii. 

Mhe. Mangosongo ameyasema hayo wakati wa baraza la biashara lililofanyika Machi 26, 2025 katika ukumbi wa Halmashauri ambapo wadau mbalimbali wa biashara na uwekezaji pamoja na wataalam wa Halmashauri na taasisi mbalimbali walishiriki.

"Wawekezaji tunawapenda sana ila tusiwasahau wananchi, tuyaweke maslahi ya wananchi mbele" alisisitiza Mhe. Mangosongo akielezea maeneo ambayo mara nyingi huumiza wananchi kutokana na mikataba ya uwekezaji kutozingatia mahitaji ya msingi ya wananchi hasa masuala ya ardhi.

Pamoja na mambo mengi yaliyojadiliwa na wadau wa biashara na uwekezaji wilayani, masuala ya usafiri wa uhakika yametiliwa mkazo ambapo Serikali kupitia mamlaka husika imeendelea kuchukua hatua kutatua changamoto kwa kuweka mikakati mizuri ikiwemo kuboresha usafiri wa majini kwa kurekebisha MV Kilindoni pamoja na kutengeneza meli mpya inayotarajiwa kukamilika hivi karibuni huku jitihada madhubuti zikkiendelea kuhakikisha usafiri wa anga unaboreshwa kwa kuweka taa katika uwanja wa ndege pamoja na kutanua uwanja.

Uboreshaji wa usafiri utasaidia shughuli nyingi wilayani Mafia kuimarika, hasa uchumi wa buluu ambao umekuwa ukikuza kipato kwa mwananchi mmoja mmoja, Wilaya na Taifa kwa ujumla kupitia utalii, biashara na uwekezaji katika mazao ya bahari, pamoja na kurahisisha utoaji wa huduma za jamii hasa afya.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KULIPIA VIWANJA May 20, 2025
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • WITO WATOLEWA KWA WATOTO WA KIKE KUPENDA MASOMO YA SAYANSI

    May 17, 2025
  • MAFIA KUUNGANISHWA NA UMEME WA GRIDI YA TAIFA

    May 16, 2025
  • WANANCHI WAASWA KUJITOKEZA KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 16, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LARIDHIA KUANZISHWA KWA MRADI WA UONGEZAJI THAMANI ZAO LA DAGAA

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

MWENGE WA UHURU WAPONGEZA VIWANGO VYA BARABARA YA MSUFINI
Tazama Video zaidi

Viungo vya haraka

  • Home
  • Photo Gallery
  • FAQ
  • Tourism
  • Investment
  • MATOKEO YA STD VII 2022

Viungo vinavyohusiana

  • OR- TAMISEMI
  • OR- Menejimenti Utumishi wa Umma
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya ajira katika Utumishi wa Umma
  • Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi
  • Wizara ya Fedha na Mipango

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kilindoni-Bomani Street

    Anuani ya posta: 85

    Simu: 0232010199

    Simu ya mkononi:

    Baruapepe: ded.mafia@pwani.go.tz / ded@mafiadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Katazo
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma namba 1
    • YOUTUBE

Copyright ©2017 Mafia District Council . All rights reserved.