• Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mafia District Council
Mafia District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Ardhi, Mipango miji na Maliasili
      • Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
        • Kitengo cha Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi na Zima Mmoto
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango na Takwimu
    • Vitengo
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Tehama
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Huduma za jamii
      • Maadili
      • Fedha, Utawala, na Mipango
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Kujua Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
      • YOUTUBE
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

VIJANA WAIMARISHWA KATIKA MASUALA YA UTALII

Posted on: July 26th, 2024

Vijana 30 wilayani Mafia wamepatiwa mafunzo ya uongozaji wa watalii pamoja na sanaa ya ngoma za asili yaliyolenga kuwajengea uwezo katika masuala ya utalii. 


Mafunzo hayo yaliyofadhiliwa na Shirika la Uhifadhi wa Mazingira Duniani (WWF) kwa kushirikiana na Shirika linalojihusisha na Uhifadhi wa Mazingira na Utunzaji wa Papa Potwe (WATONET), Chuo cha Taifa cha Utalii pamoja na Taasisi ya TACCI yamelenga kuchagiza shughuli za utalii wilayani pamoja na kuwatengenezea ajira vijana.


" Waongoza watalii wana nafasi kubwa sana kwenye kuutangaza utalii, kwa sababu wao wanatoa huduma na kuwapokea wageni. Tukiwa na waongoza watalii ambao hawana weledi na taaluma, taswira ya eneo ambalo watalii wanakuja inakuwa si nzuri" alisema Mtendaji Mkuu wa Shirika la WATONET, Ndugu Juma Salum.


Kwa upande wake, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia Ndugu Mussa Kitungi, ambaye alikuwa mgeni rasmi katika kufunga mafunzo hayo, amewataka vijana hao kutumia fursa hiyo kuitangaza Mafia katika utalii na kuunga mkono juhudi za Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kukuza sekta ya utalii nchini.

Hii ni awamu ya pili ya utoaji wa mafunzo hayo ambapo kwa mwaka 2023, vijana 25 kutoka kata 6 walishiriki mafunzo ya uongozaji utalii pekee kwa kulinganisha na mwaka huu 2024 ambapo Shirika la WATONET limetanua wigo kwa kuongeza mafunzo ya ngoma za asili ambayo yalitolewa mkoani Morogoro na taasisi ya TACCI.


" Tunaishukuru Halmashauri ya Wilaya ya Mafia kwa kutoa kibali cha mafunzo hayo, pamoja na Shirika la WWF na WATONET kwa kushirikiana na wakufunzi wetu kwa kutupa mafunzo haya. Tunaomba kutambuliwa rasmi wilayani kwa kupata vitambulisho ili tuweze kutambulika kisheria na kutunza ajira zetu" alisema Amini Abdallah, kwa niaba ya wahitimu wa mafunzo ya waongoza watalii.


Matangazo

  • TANGAZO: KUITWA KWENYE USAILI (UCHAGUZI MKUU 2025) October 05, 2025
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • DC MAGOTI ASISITIZA UMAKINI KATIKA USIMAMIZI WA MIRADI

    August 14, 2025
  • KATIBU TAWALA MOROGORO AIPONGEZA MAFIA KWA USIMAMIZI MZURI WA UTOAJI WA MIKOPO YA DKT.SAMIA

    August 04, 2025
  • KARIBU MAONESHO YA NANENANE BANDA LA MAFIA, MKOANI MOROGORO

    August 02, 2025
  • "UTUMISHI WA UMMA NI WITO"

    July 26, 2025
  • Tazama zote

Video

AGIZO LA DC MANGOSONGO KWA TANROADS
Tazama Video zaidi

Viungo vya haraka

  • Home
  • Photo Gallery
  • FAQ
  • Tourism
  • Investment
  • MATOKEO YA STD VII 2022

Viungo vinavyohusiana

  • OR- TAMISEMI
  • OR- Menejimenti Utumishi wa Umma
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya ajira katika Utumishi wa Umma
  • Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi
  • Wizara ya Fedha na Mipango

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kilindoni-Bomani Street

    Anuani ya posta: 85

    Simu: 0232010199

    Simu ya mkononi:

    Baruapepe: ded.mafia@pwani.go.tz / ded@mafiadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Katazo
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma namba 1
    • YOUTUBE

Copyright ©2017 Mafia District Council . All rights reserved.