• Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mafia District Council
Mafia District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Ardhi, Mipango miji na Maliasili
      • Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
        • Kitengo cha Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi na Zima Mmoto
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango na Takwimu
    • Vitengo
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Tehama
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Huduma za jamii
      • Maadili
      • Fedha, Utawala, na Mipango
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Kujua Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
      • YOUTUBE
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WADAU WA MAZINGIRA, HALMASHAURI NA WANANCHI WAUNGANA KUTOKOMEZA KUENEA KWA PLASTIKI

Posted on: October 2nd, 2025

Wananchi pamoja na wadau wilayani Mafia wameaswa kushirikiana kwa pamoja kutunza mazingira kwa kutokomeza taka ngumu hasa plastiki ambazo zimekuwa zikiharibu mazingira hasa baharini.

Wito huo umetolewa Oktoba 2, 2025 wakati wa kikao cha kuandaa mpango mkakati na mpango kazi wa pamoja wa kudhibiti taka ngumu hasa za plastiki kwa kuthibitisha taarifa za awali zilizokusanywa na mshauri mwelekezi.

Akizungumza katika kikao hicho, Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Dkt. Seleman Kataga ametoa wito kwa wadau mbalimbali wa mazingira na wananchi kushirikiana kwa karibu zaidi kutekeleza mpango mkakati huo ili kuweza kutokomeza plastiki zinazoendelea kuharibu mazingira.

Kwa upande wake, Afisa Afya wa Wilaya ya Mafia Ndugu Othman Masanga ameeleza kuwa ana imani mpango mkakati unaoandaliwa utasaidia kuboresha shughuli za kiuchumi kama vile utalii ambao unategemea zaidi uhifadhi wa mazingira.

" Kisiwa cha Mafia kinazungukwa na bahari nankinategemea sana shughuli za uvuvi na utalii, hivyo mpango mkakati huu utasaidia kuendeleza bayoanuai za bahari kwa kuthibiti plastiki" alieleza Ndugu Masanga.

Baadhi ya wadau wa mazingira wamepongeza hatua hiyo itakayosaidia uhifadhi wa mazingira kwa kutekeleza maazimio yatakayopendekezwa ili kuzuia ueneaji wa plastiki.

" Kuundwa kwa mfumo jumuishi wa udhibiti taka kwetu ni fursa kubwa kutekeleza kwa pamoja na wadau wengine ili tutokomeze plastiki" alieleza Abdul Amrani, kutoka kikundi cha Takataka Dampo.

Mpango mkakati huo utaenda kutekeleza mradi wa " Pamoja Tuhifadhi Bahari Yetu" unaoratibiwa na Taasisi isiyo ya Kiserikali ya FORUMCC kwa kushirikiana na IUCN, Ofisi ya Makamu wa Rais, Halmashauri ya Wilaya ya Mafia pamoja na wadau mbalimbali wa mazingira na wananchi.

" Natoa wito kwa wadau wa maendeleo, Serikali, asasi zisizo za kiserikali na wananchi kuungana kwa pamoja na kusimamia mpango huu ili uweze kutekelezwa na kuwa endelevu kwa maisha yetu ya baadaye" alisisitiza Gladness Lauwo, Afisa kutoka taasisi ya FORUMCC.







Matangazo

  • MWALIKO WA KUHUDHURIA BARAZA LA KWANZA LA MADIWANI November 29, 2025
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • CHUO CHA VETA MAFIA CHATOA WAHITIMU KWA MARA YA KWANZA TANGU KUANZISHWA

    November 23, 2025
  • WITO WATOLEWA KWA WADAU KUSHIRIKIANA NA SERIKALI KUBORESHA ELIMU

    November 21, 2025
  • JITIHADA ZAIDI ZAHITAJIKA KUBORESHA MASUALA YA LISHE WILAYANI MAFIA

    November 14, 2025
  • WANUFAIKA WAASWA KUTUMIA MIKOPO YA ASILIMIA 10 KWA MALENGO YALIYOKUSUDIWA

    November 13, 2025
  • Tazama zote

Video

USIKOSE KUWA SEHEMU YA TUKIO HILI MUHIMU KIHISTORIA
Tazama Video zaidi

Viungo vya haraka

  • Home
  • Photo Gallery
  • FAQ
  • Tourism
  • Investment
  • MATOKEO YA STD VII 2022

Viungo vinavyohusiana

  • OR- TAMISEMI
  • OR- Menejimenti Utumishi wa Umma
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya ajira katika Utumishi wa Umma
  • Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi
  • Wizara ya Fedha na Mipango

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kilindoni-Bomani Street

    Anuani ya posta: 85

    Simu: 0232010199

    Simu ya mkononi:

    Baruapepe: ded.mafia@pwani.go.tz / ded@mafiadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Katazo
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma namba 1
    • YOUTUBE

Copyright ©2017 Mafia District Council . All rights reserved.