• Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mafia District Council
Mafia District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Ardhi, Mipango miji na Maliasili
      • Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
        • Kitengo cha Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi na Zima Mmoto
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango na Takwimu
    • Vitengo
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Tehama
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Huduma za jamii
      • Maadili
      • Fedha, Utawala, na Mipango
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Kujua Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
      • YOUTUBE
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WADAU WADHAMIRIA KUONGEZA THAMANI ZAO LA MWANI

Posted on: April 30th, 2025

Wakulima wa mwani wilayani Mafia waaswa kuanzisha ushirika ili kuleta maendeleo katika zao hilo. 

Ushauri huo umetolewa leo Aprili 30, 2025 wakati wa kikao cha wadau wa mwani kilichoongozwa na shirika la Action Aid kwa kuhusisha wataalam kutoka Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Divisheni na Vitengo vingine wilayani pamoja na wakulima wa mwani. 

"Sisi kama Action Aid, tutaendelea kushirikiana na Serikali, wadau na jamii kwa ujumla kuhakikisha kilimo cha mwani kinapata maendeleo" alisema Samwel Mesiack, Mratibu wa Shirika la Action Aid wilayani Mafia. 

Ameongeza kuwa ni muhimu kwa wakulima wa mwani kuunda ushirika kukabiliana na changamoto zinazowakabili ili kukuza na kuongeza thamani ya zao la mwani. 

Kwa upande wake, Afisa Tawala wilaya ya Mafia Ndugu Jovinus Kyaruzi ametoa wito kwa wakulima kufanya kazi kwa bidii kukuza zao la mwani kwakuwa Serikali ina malengo makubwa katika kuendeleza zao hilo. 

"Kama Serikali tutaendelea kutilia mkazo kwa kuchukua hatua stahiki ili kilimo cha mwani kiendelee kuwa na tija, nitoe rai kwa wakulima wote na viongozi wa ushirika kuchapa kazi kwa uzalendo kuboresha maslahi ya wakulima"  alisema Ndugu Kyaruzi.

Katika hatua nyingine, Halmashauri ya Wilaya ya Mafia imeweka wazi lengo lake la kuhakikisha wakulima wa zao la mwani wanapiga hatua kwa kutoa ushirikiano wa dhati kutatua changamoto. 

" Kama Serikali, kabla ya mwaka kuisha tutafanya sensa ya wakulima wa mwani ili kutusaidia kupanga mikakati ya namna ya kuboresha zao la mwani" alisema Ndugu Mohammed Othman,  kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia ambaye ametoa wito pia kwa wakulima kutumia fursa ya mikopo ya asilimia 10 inayotolewa na Halmashauri kuendelea kuwekeza kwenye shughuli zao. 

Wakulima wa mwani walipata fursa ya kujadili changamoto zinazowakabili na kutoa mapendekezo ya hatua zinazopaswa kuchukuliwa ili kuboresha biashara ya zao hilo kwa lengo la kukuza uchumi wao, Wilaya na Taifa kwa ujumla.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUFUNGULIWA KWA DIRISHA LA UTOAJI WA MIKOPO May 02, 2025
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • WADAU WADHAMIRIA KUONGEZA THAMANI ZAO LA MWANI

    April 30, 2025
  • MAFIA YAADHIMISHA KILELE CHA WIKI YA CHANJO

    April 30, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA UKAGUZI YATOLEWA KWA WAKUU WA DIVISHENI NA VITENGO

    April 29, 2025
  • MRADI WA MAJIKO BANIFU WATAMBULISHWA MAFIA

    April 28, 2025
  • Tazama zote

Video

MWENGE WA UHURU WAPONGEZA VIWANGO VYA BARABARA YA MSUFINI
Tazama Video zaidi

Viungo vya haraka

  • Home
  • Photo Gallery
  • FAQ
  • Tourism
  • Investment
  • MATOKEO YA STD VII 2022

Viungo vinavyohusiana

  • OR- TAMISEMI
  • OR- Menejimenti Utumishi wa Umma
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya ajira katika Utumishi wa Umma
  • Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi
  • Wizara ya Fedha na Mipango

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kilindoni-Bomani Street

    Anuani ya posta: 85

    Simu: 0232010199

    Simu ya mkononi:

    Baruapepe: ded.mafia@pwani.go.tz / ded@mafiadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Katazo
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma namba 1
    • YOUTUBE

Copyright ©2017 Mafia District Council . All rights reserved.