• Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mafia District Council
Mafia District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Ardhi, Mipango miji na Maliasili
      • Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
        • Kitengo cha Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi na Zima Mmoto
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango na Takwimu
    • Vitengo
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Tehama
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Huduma za jamii
      • Maadili
      • Fedha, Utawala, na Mipango
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Kujua Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
      • YOUTUBE
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WASIMAMIZI WA MIRADI WATAKIWA KUONGEZA UFANISI KATIKA UTEKELEZAJI

Posted on: August 22nd, 2025

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia Ndugu Mussa Kitungi amewataka wasimamizi wa miradi kuongeza umakini katika kusimamia miradi inayotekelezwa ili iweze kukamilika kwa wakati. 

Ndugu Kitungi ametoa maelekezo hayo Agosti 20, 2025 wakati wa ziara yake ya ukaguzi wa miradi ya elimu ambapo aliambatana na baadhi ya Wakuu wa Divisheni na Vitengo.

Ameeleza kuwa ni muhimu kutekeleza miradi kwa wakati pamoja na kuzingatia thamani ya fedha ili wananchi waanze kunufaika na miradi hiyo.

" Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan analeta fedha nyingi sana kwa ajili ya miradi, hivyo hatutaruhusu myu yeyote atukwamishe bila kumchukulia hatua. Ongezeni juhudi na umakini katika usimamizi wenu na kwenye changamoto msisite kusema ili miradi yetu ikamilike vile ilivyokusudiwa" alieleza.

Ndugu Kitungi alipata fursa ya kutembelea na kukagua mradi wa ujenzi wa shule mpya ya sekondari ya Jimbo katika kata ya Kirongwe, mradi wa ujenzi wa shule ya msingi katika kitongoji cha Mwawani, ujenzi wa madarasa na vyoo katika shule ya msingi Kungwi kata ya Baleni, ujenzi wa maabara ya kemia na baiolojia shule ya sekondari Kidawendui katika kata ya Ndagoni pamoja na ujenzi wa shule ya Amali iliyopo kijiji cha Dongo.

Matangazo

  • TANGAZO: KUITWA KWENYE USAILI (UCHAGUZI MKUU 2025) October 05, 2025
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • SIKU YA PAPA POTWE DUNIANI; JAMII YAASWA KUWAJIBIKA KUTUNZA MAZINGIRA

    August 30, 2025
  • KOFIH YAKABIDHI JENGO LA MAMA NA MTOTO KWA HALMASHAURI

    August 28, 2025
  • JAMII KUSHIRIKIANA NA WATAALAM KUREJESHA MSITU WA MLOLA

    August 26, 2025
  • WASIMAMIZI WA MIRADI WATAKIWA KUONGEZA UFANISI KATIKA UTEKELEZAJI

    August 22, 2025
  • Tazama zote

Video

USIKOSE KUWA SEHEMU YA TUKIO HILI MUHIMU KIHISTORIA
Tazama Video zaidi

Viungo vya haraka

  • Home
  • Photo Gallery
  • FAQ
  • Tourism
  • Investment
  • MATOKEO YA STD VII 2022

Viungo vinavyohusiana

  • OR- TAMISEMI
  • OR- Menejimenti Utumishi wa Umma
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya ajira katika Utumishi wa Umma
  • Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi
  • Wizara ya Fedha na Mipango

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kilindoni-Bomani Street

    Anuani ya posta: 85

    Simu: 0232010199

    Simu ya mkononi:

    Baruapepe: ded.mafia@pwani.go.tz / ded@mafiadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Katazo
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma namba 1
    • YOUTUBE

Copyright ©2017 Mafia District Council . All rights reserved.