• Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mafia District Council
Mafia District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Ardhi, Mipango miji na Maliasili
      • Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
        • Kitengo cha Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi na Zima Mmoto
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango na Takwimu
    • Vitengo
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Tehama
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Huduma za jamii
      • Maadili
      • Fedha, Utawala, na Mipango
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Kujua Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
      • YOUTUBE
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WAKAZI WA CHOLE KUONDOKANA NA TATIZO LA UMEME

Posted on: July 15th, 2024

Wananchi kutoka Utende na Chole wameshiriki katika mradi wa kufikisha umeme kisiwani Chole kwa kuzamisha waya ndani ya maji kutoka fukwe za Utende hadi fukwe za Chole.

Mradi huo wa Shirika la Usambazaji Umeme Tanzania( TANESCO), umetekelezwa katika sehemu tofauti ambapo ullihusisha umeme wenye msongo mkubwa wa KV 11 kwa kuvuta nguzo Mita 300 na uwekaji wa waya wenye urefu wa Kilomita 1.3 na ukubwa wa Milimita 95.

Waya unaozamishwa ndani ya maji ambao pia unabeba nyuzi za kupitisha mawasiliano na kuwezesha mtandao kupatikana kisiwa cha Chole, una uwezo wa kubeba umeme wa msongo wa KV 33, lakini kwa sasa umeme utakaowekwa ni wa KV 11, endapo Shirika la Usambazaji Umeme Tanzania ( TANESCO) wakiongeza uwezo wa msongo wa umeme, waya huo utaendelea kubeba umeme wa msongo mkubwa.


Mradi huo unatarajiwa kuleta maendeleo makubwa kiuchumi kwa kutoa fursa kwa wakazi wa kisiwa cha Chole kujihusisha na shughuli nyingi zinazohitaji umeme, hasa kwa wafanyabiashara wa samaki pamoja na kuboresha utoaji wa huduma za afya.

" Mradi huu ulikuwa wa miezi tisa, sasa umefikia hatua za mwisho, japo tulichelewa kupata kibali cha kuvusha waya baharini, sasa tumekipata na tunahakikisha kwamba ndani ya wiki mbili, umeme utakuwa umewaka katika kisiwa cha Chole" alieleza Celestine Igongo, meneja wa miradi kutoka Nakuroi Investment, kampuni iliyopewa zabuni ya utekelezaji wa mradi.

Vijiji vingine ambavyo ni Juani na Jibondo, vitanufaika na upatikanaji wa umeme baada ya kumalizika kwa zoezi hilo katika kisiwa cha Chole.

Matangazo

  • TANGAZO: KUITWA KWENYE USAILI (UCHAGUZI MKUU 2025) October 05, 2025
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • DC MAGOTI ASISITIZA UMAKINI KATIKA USIMAMIZI WA MIRADI

    August 14, 2025
  • KATIBU TAWALA MOROGORO AIPONGEZA MAFIA KWA USIMAMIZI MZURI WA UTOAJI WA MIKOPO YA DKT.SAMIA

    August 04, 2025
  • KARIBU MAONESHO YA NANENANE BANDA LA MAFIA, MKOANI MOROGORO

    August 02, 2025
  • "UTUMISHI WA UMMA NI WITO"

    July 26, 2025
  • Tazama zote

Video

AGIZO LA DC MANGOSONGO KWA TANROADS
Tazama Video zaidi

Viungo vya haraka

  • Home
  • Photo Gallery
  • FAQ
  • Tourism
  • Investment
  • MATOKEO YA STD VII 2022

Viungo vinavyohusiana

  • OR- TAMISEMI
  • OR- Menejimenti Utumishi wa Umma
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya ajira katika Utumishi wa Umma
  • Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi
  • Wizara ya Fedha na Mipango

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kilindoni-Bomani Street

    Anuani ya posta: 85

    Simu: 0232010199

    Simu ya mkononi:

    Baruapepe: ded.mafia@pwani.go.tz / ded@mafiadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Katazo
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma namba 1
    • YOUTUBE

Copyright ©2017 Mafia District Council . All rights reserved.