• Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mafia District Council
Mafia District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Ardhi, Mipango miji na Maliasili
      • Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
        • Kitengo cha Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi na Zima Mmoto
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango na Takwimu
    • Vitengo
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Tehama
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Huduma za jamii
      • Maadili
      • Fedha, Utawala, na Mipango
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Kujua Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
      • YOUTUBE
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WALIMU WAASWA KUFANYA KAZI KWA BIDII

Posted on: March 27th, 2025

Walimu wilayani Mafia waaswa kufanya kazi kwa bidii kwa kutoa huduma nzuri kwa jamii hasa katika kuhakikisha kwamba wanafunzi wanafaulu vizuri masomo yao. 

Wito huo umetolewa leo Machi 27 na Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Taifa ya Chama cha Walimu Tanzania ( CWT), Mwl. Herbert Ngimi wakati wa zoezi la uchaguzi wa viongozi wa Chama hicho uliofanyika katika ukumbi wa Halmashauri,  Chicco. 

Mwl. Ngimi amesema kwamba ni muhimu walimu kufanya kazi kwa bidii kwani wao ni kioo na jamii inawategemea. 

" Natoa wito kwa walimu na wananchi kwa ujumla kuendelea kukiamini Chama cha Walimu kwani ni sauti ya walimu wote na ni Chama pekee kinachogusa watu wengi" ameeleza . 

Kwa upande wake, Mkuu wa Wilaya ya Mafia na mgeni rasmi katika tukio hilo,  Mhe. Aziza Mangosongo amemshukuru Mhe. Rais Dkt.  Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuboresha elimu nchini kwa kuwajali walimu kimaslahi pamoja na kuongeza watumishi katika sekta hiyo wilayani na kote nchini. 

Aidha amewataka walimu kuzingatia maadili na weledi wawapo katika majukumu yao. 

Viongozi waliochaguliwa wameahidi kuwa wazalendo kwa kufanya kazi kwa juhudi kubwa ili kuwa sehemu ya mabadiliko chanya katika jamii. 

" Tunaahidi kwamba tunaenda kuwatetea walimu katika wilaya yetu na kuwapambania ili kupata haki zao za msingi katika kuendeleza Chama chetu na wilaya. Natoa wito kwamba tuweze kushirikiana na kusaidiana ili tuwe mfano wa kuigwa kwa vyama vingine vya wafanyakazi na jamii kwa ujumla" alisema Mariam Khalfani, Mwakilishi wa Walimu Wanawake wilaya ya Mafia. 


Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KULIPIA VIWANJA May 20, 2025
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • WITO WATOLEWA KWA WATOTO WA KIKE KUPENDA MASOMO YA SAYANSI

    May 17, 2025
  • MAFIA KUUNGANISHWA NA UMEME WA GRIDI YA TAIFA

    May 16, 2025
  • WANANCHI WAASWA KUJITOKEZA KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 16, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LARIDHIA KUANZISHWA KWA MRADI WA UONGEZAJI THAMANI ZAO LA DAGAA

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

MWENGE WA UHURU WAPONGEZA VIWANGO VYA BARABARA YA MSUFINI
Tazama Video zaidi

Viungo vya haraka

  • Home
  • Photo Gallery
  • FAQ
  • Tourism
  • Investment
  • MATOKEO YA STD VII 2022

Viungo vinavyohusiana

  • OR- TAMISEMI
  • OR- Menejimenti Utumishi wa Umma
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya ajira katika Utumishi wa Umma
  • Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi
  • Wizara ya Fedha na Mipango

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kilindoni-Bomani Street

    Anuani ya posta: 85

    Simu: 0232010199

    Simu ya mkononi:

    Baruapepe: ded.mafia@pwani.go.tz / ded@mafiadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Katazo
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma namba 1
    • YOUTUBE

Copyright ©2017 Mafia District Council . All rights reserved.