• Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mafia District Council
Mafia District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Ardhi, Mipango miji na Maliasili
      • Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
        • Kitengo cha Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi na Zima Mmoto
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango na Takwimu
    • Vitengo
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Tehama
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Huduma za jamii
      • Maadili
      • Fedha, Utawala, na Mipango
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Kujua Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
      • YOUTUBE
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WASIMAMIZI WA MIRADI WASISITIZWA UMAKINI KATIKA UTEKELEZAJI

Posted on: January 7th, 2025

Kamati ya Usalama ikiongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Mafia Mhe. Aziza Mangosongo, leo Januari 07, 2025 imefanya ziara ya kutembelea na kukagua miradi mbalimbali wilayani ikiwemo afya, elimu, miundombinu ya maji na barabara. 

Katika ziara hiyo, Mhe. Mangosongo amewataka wasimamizi wa miradi kuongeza kasi ya utekelezaji ili miradi ikamilike kwa wakati uliokusudiwa pamoja na kuzingatia taratibu na miongozo iliyopo ya usimamizi wa miradi.

Aidha, amezitaka taasisi zote zenye miradi wilayani pamoja na Halmashauri kuhakikisha kwamba thamani ya miradi inaendana na fedha ambazo Serikali imetoa kwa ajili ya utekelezaji.

Miradi iliyotembelewa na kukaguliwa ni pamoja na ujenzi wa barabara ya Kichangachui-Msufini, ujenzi wa Zahanati za Micheni na Kibada katika kata za Miburani na Baleni, ujenzi wa kalvati kubwa la midomo miwili katika barabara ya Kibaoni- Chemchem, ujenzi wa bweni lililopo shule ya sekondari Kilindoni, mradi wa maji katika kata ya Baleni, pamoja na ujenzi wa kalvati lililopo Jimbo, kata ya Kirongwe. 


Matangazo

  • TANGAZO: NAFASI ZA KAZI ZA MUDA; AFISA MIFUGO MSAIDIZI July 14, 2025
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • CAG ASISITIZA USIMAMIZI MZURI WA MAPATO

    June 19, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YAKAGUA MIRADI YA ELIMU NA SOKO

    June 19, 2025
  • KLINIKI YA ARDHI YAIFIKIA MAFIA

    June 18, 2025
  • VETA YATOA MAFUNZO KWA MAMA LISHE ZAIDI YA 200 WA KATA YA KILINDONI

    June 17, 2025
  • Tazama zote

Video

Kisiwa cha Mafia ndani ya SGR
Tazama Video zaidi

Viungo vya haraka

  • Home
  • Photo Gallery
  • FAQ
  • Tourism
  • Investment
  • MATOKEO YA STD VII 2022

Viungo vinavyohusiana

  • OR- TAMISEMI
  • OR- Menejimenti Utumishi wa Umma
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya ajira katika Utumishi wa Umma
  • Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi
  • Wizara ya Fedha na Mipango

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kilindoni-Bomani Street

    Anuani ya posta: 85

    Simu: 0232010199

    Simu ya mkononi:

    Baruapepe: ded.mafia@pwani.go.tz / ded@mafiadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Katazo
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma namba 1
    • YOUTUBE

Copyright ©2017 Mafia District Council . All rights reserved.