• Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mafia District Council
Mafia District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Ardhi, Mipango miji na Maliasili
      • Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
        • Kitengo cha Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi na Zima Mmoto
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango na Takwimu
    • Vitengo
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Tehama
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Huduma za jamii
      • Maadili
      • Fedha, Utawala, na Mipango
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Kujua Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
      • YOUTUBE
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WATUMISHI NA WANANCHI WAUNGANA KUHAMASISHA UJENZI WA SHULE

Posted on: July 12th, 2025

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia Ndugu Mussa Kitungi amewaongoza watumishi pamoja na wananchi wa Kitongoji cha Mwawani kiliopo kijiji cha Kifinge, kata ya Baleni katika zoezi la hamasa ya ushiriki wa ujenzi wa Shule ya Awali na Msingi ya Mkondo Mmoja pamoja na nyumba ya watumishi. 

Zoezi hilo lililofanyika Julai 12, 2025 limeratibiwa na Idara ya Elimu Msingi kwa kushirikiana na Wakuu wa Idara na Vitengo mbalimbali kutoka Halmashauri. 

Ndugu Kitungi ametoa pongezi kwa watumishi, Serikali ya Kijiji cha Kifinge pamoja na wananchi wote kwa kushiriki katika zoezi hilo na kutoa wito kwa wananchi kujitoa kuchangia nguvu zao ili mradi uweze kukamilika kwa wakati na kuondoa adha kwa wanafunzi wanaolazimika kutembea umbali mrefu kuifuata shule.

Aidha, amesisitiza usimamizi bora wa miradi yote inayotekelezwa wilayani ili utekelezaji wa miradi hiyo uendane na thamani ya fedha ambayo Serikali inatoa ili wananchi wapate huduma iliyo bora.


Matangazo

  • TANGAZO: NAFASI ZA KAZI ZA MUDA; AFISA MIFUGO MSAIDIZI July 14, 2025
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • MAFIA YAJIANDAA NA KAMPENI YA CHANJO NA UTAMBUZI WA MIFUGO

    July 17, 2025
  • KKKT NA NCA YAHITIMISHA MRADI WA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA WILAYANI MAFIA

    July 16, 2025
  • TUNADUMISHA NA KUENZI TAMADUNI ZETU

    July 13, 2025
  • WATUMISHI NA WANANCHI WAUNGANA KUHAMASISHA UJENZI WA SHULE

    July 12, 2025
  • Tazama zote

Video

KARIBU PWANI MHE. RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN
Tazama Video zaidi

Viungo vya haraka

  • Home
  • Photo Gallery
  • FAQ
  • Tourism
  • Investment
  • MATOKEO YA STD VII 2022

Viungo vinavyohusiana

  • OR- TAMISEMI
  • OR- Menejimenti Utumishi wa Umma
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya ajira katika Utumishi wa Umma
  • Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi
  • Wizara ya Fedha na Mipango

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kilindoni-Bomani Street

    Anuani ya posta: 85

    Simu: 0232010199

    Simu ya mkononi:

    Baruapepe: ded.mafia@pwani.go.tz / ded@mafiadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Katazo
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma namba 1
    • YOUTUBE

Copyright ©2017 Mafia District Council . All rights reserved.