• Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mafia District Council
Mafia District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Ardhi, Mipango miji na Maliasili
      • Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
        • Kitengo cha Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi na Zima Mmoto
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango na Takwimu
    • Vitengo
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Tehama
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Huduma za jamii
      • Maadili
      • Fedha, Utawala, na Mipango
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Kujua Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
      • YOUTUBE
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WATUMISHI WILAYANI MAFIA WAMPONGEZA DKT. SAMIA

Posted on: February 27th, 2025

Watumishi wilayani Mafia wameshiriki matembezi ya hisani kwa lengo la kumpongeza na kumshukuru Mhe. Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa juhudi zote anszozifanya katika kuhakikisha nchi inapata maendeleo pamoja na kuwajali watumishi wa umma. 

Wakiongozwa na Katibu Tawala wa Wilaya Ndg. Shabani Shabani, watumishi waliungana na baadhi ya wananchi kutoa pongezi na shukrani zao pamoja na kutoa tamko lao kwa pamoja. 

"Awamu hii imekuwa ya faraja, furaha na matumaini kutokana na ushirikiano tunaopata kutoka kwa Serikali yetu. Hivyo hafla hii ya kumpongeza Mhe. Rais ni jambo la shukrani na uungwana kwetu na si la kisiasa" alieleza Ndg. Shabani 

Kwa upande wake, Mkuu wa Wilaya ya Mafia Mhe. Aziza Mangosongo ambaye alikuwa mgeni rasmi, amewapongeza watumishi kwa hatua hiyo pamoja na kueleza mambo muhimu ambayo Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameyatekeleza Wilayani Mafia na kuwataka watumishi kuongeza juhudi katika kazi ili wananchi wapate huduma bora. 

Kwa sasa, Halmashauri ya Wilaya ya Mafia ina watumishi asilimia 70 ya watumishi wote wanaohitajika, hii ni kutokana na jitihada kubwa ya Mhe. Rais kuongeza watumishi ambapo miaka ya nyuma uhaba ya watumishi ulikuwa mkubwa zaidi. 

Miongoni mwa mengi ambayo Mhe. Rais ameyafanya ni pamoja na kupunguza kodi kwenye mishahara, kupanda madaraja, kutoa fedha nyingi za miradi ya maendeleo, kuboresha masuala ya kitumishi kwa kuwa na mfumo wa Serikali mtandao ambao unaoongeza ufanisi, kupanda kwa mishahara, na kuwezesha mafunzo kazini ambapo mambo haya  yamekutanisha wananchi kutoa pongezi kwa Serikali. 

Aidha, kwa pamoja  watumishi wameahidi kufuata maelekezo na miongozo ya Serikali, kuongeza juhudi katika kutumikia wananchi, kuunga mkono jitihada za kutunza mazingira pamoja na mambo mengine ambayo yanasaidia kuchangia maendeleo ya Wilaya na Taifa kwa ujumla. 

Matembezi hayo yalifuatiwa na shughuli nyingine za uchangiaji wa damu pamoja na mchezo wa mpira wa miguu ambapo timu ya watumishi ilishindana na timu ya waendesha bodaboda.










Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KULIPIA VIWANJA May 20, 2025
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • WITO WATOLEWA KWA WATOTO WA KIKE KUPENDA MASOMO YA SAYANSI

    May 17, 2025
  • MAFIA KUUNGANISHWA NA UMEME WA GRIDI YA TAIFA

    May 16, 2025
  • WANANCHI WAASWA KUJITOKEZA KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 16, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LARIDHIA KUANZISHWA KWA MRADI WA UONGEZAJI THAMANI ZAO LA DAGAA

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

MWENGE WA UHURU WAPONGEZA VIWANGO VYA BARABARA YA MSUFINI
Tazama Video zaidi

Viungo vya haraka

  • Home
  • Photo Gallery
  • FAQ
  • Tourism
  • Investment
  • MATOKEO YA STD VII 2022

Viungo vinavyohusiana

  • OR- TAMISEMI
  • OR- Menejimenti Utumishi wa Umma
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya ajira katika Utumishi wa Umma
  • Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi
  • Wizara ya Fedha na Mipango

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kilindoni-Bomani Street

    Anuani ya posta: 85

    Simu: 0232010199

    Simu ya mkononi:

    Baruapepe: ded.mafia@pwani.go.tz / ded@mafiadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Katazo
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma namba 1
    • YOUTUBE

Copyright ©2017 Mafia District Council . All rights reserved.