• Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mafia District Council
Mafia District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Ardhi, Mipango miji na Maliasili
      • Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
        • Kitengo cha Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi na Zima Mmoto
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango na Takwimu
    • Vitengo
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Tehama
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Huduma za jamii
      • Maadili
      • Fedha, Utawala, na Mipango
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Kujua Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
      • YOUTUBE
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WWF YAKABIDHI VITENDEA KAZI KWA AJILI YA UTUNZAJI WA MAZINGIRA

Posted on: June 27th, 2025

hirika linalojihusisha na Uhifadhi wa Mazingira Duniani ( WWF) limekabidhi boti na pikipiki ( Toyo) mbili  zenye thamani ya Shilingi Milioni 57.5 kwa vikundi viwili vya urejeshaji wa mikoko kutoka vijiji vya Kanga na Jimbo. 

Akizungumza wakati wa hafla fupi ya makabidhiano hayo leo Juni 27, 2025 Mkuu wa Wilaya ya Mafia Mhe .Aziza Mangosongo amelishukuru shirika la WWF kwa ushirikiano wao kwa Serikali na jamii kiujumla katika kuunga mkono juhudi za utunzaji wa mazingira ili kukomboa rasilimali zilizopo katika kisiwa cha Mafia na kueleza kuwa Serikali itaendelea kushirikiana na mashirika na wadau ili kutunza mazingira na kusaidia kuleta maendeleo katika jamii.

" WWF mmeona mtushike mkono Serikali, na sisi tunashukuru kwa dhati ila tunawaomba ndugu zetu mnaopokea vifaa hivi kwamba mvitumie kwa lengo lililokusudiwa" alieleza Mhe. Mangosongo.

Wanufaika wa vikundi hivyo wamepongeza hatua hiyo na kuahidi  kuvitunza vifaa ili viwasaidie  katika kuendelea kutunza rasilimali zilizopo pamoja na shughuli zao za kuwaingizia kipati hasa ukulima wa mwani.

" Tunaishukuru WWF na viongozi wetu kwa kuendelea kutusaidia katika shughuli zetu, tunaahidi kutumia kwa matumizi sahihi vifaa vyetu ili viweze kutunufaisha sisi kama kikundi na kuhifadhi mazingira yetu" alisema Amini Jumbe, mwanakikundi kutoka Umoja wa Mwani Jimbo. 

Matangazo

  • TANGAZO: NAFASI ZA KAZI ZA MUDA; AFISA MIFUGO MSAIDIZI July 14, 2025
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • WADAU WA UTALII WAPATA UJUZI WA UONGEZAJI THAMANI WA BIDHAA PAMOJA NA UTAFUTAJI WA MASOKO

    June 28, 2025
  • WWF YAKABIDHI VITENDEA KAZI KWA AJILI YA UTUNZAJI WA MAZINGIRA

    June 27, 2025
  • WATUMISHI WAONGEZEWA UJUZI KATIKA MFUMO WA UTENDAJI KAZI

    June 24, 2025
  • DC MANGOSONGO AFUNGA MAFUNZO KWA MAMA LISHE ZAIDI YA 396

    June 24, 2025
  • Tazama zote

Video

Kisiwa cha Mafia ndani ya SGR
Tazama Video zaidi

Viungo vya haraka

  • Home
  • Photo Gallery
  • FAQ
  • Tourism
  • Investment
  • MATOKEO YA STD VII 2022

Viungo vinavyohusiana

  • OR- TAMISEMI
  • OR- Menejimenti Utumishi wa Umma
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya ajira katika Utumishi wa Umma
  • Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi
  • Wizara ya Fedha na Mipango

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kilindoni-Bomani Street

    Anuani ya posta: 85

    Simu: 0232010199

    Simu ya mkononi:

    Baruapepe: ded.mafia@pwani.go.tz / ded@mafiadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Katazo
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma namba 1
    • YOUTUBE

Copyright ©2017 Mafia District Council . All rights reserved.