• Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mafia District Council
Mafia District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Ardhi, Mipango miji na Maliasili
      • Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
        • Kitengo cha Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi na Zima Mmoto
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango na Takwimu
    • Vitengo
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Tehama
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Huduma za jamii
      • Maadili
      • Fedha, Utawala, na Mipango
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Kujua Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
      • YOUTUBE
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

ZAIDI YA BILIONI SABA KUMTUA MAMA NDOO KICHWANI

Posted on: November 20th, 2024

Miradi ya maji inayosimamiwa na kutekelezwa na Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini ( RUWASA), inatarajiwa kumaliza tatizo la upatikanaji wa maji Safi na Salama wilayani Mafia kwa kumtua mama ndoo kichwani.

Hayo yamesemwa na Mkuu wa Wilaya ya Mafia Mhe. Aziza Mangosongo wakati wa ziara yake ya kutembelea na kukagua miradi inayoendelea kutekelezwa na RUWASA katika baadhi ya maeneo zikiwemo kata za Kilindoni na Kiegeani.

Ili kufanikisha hayo, Serikali imetoa zaidi ya Shilingi Billioni saba kwa lengo la kuimarisha upatikanaji wa Maji Safi na Salama kwa wananchi wa wilaya ya Mafia. 

" Lengo la Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kumtua mama ndoo kichwani haliwezi kutimia kama miradi hii haitasambazwa na kufikia wananchi kote" alisema Mhe. Mangosongo.

Kwa upande wake, Meneja wa RUWASA wilaya ya Mafia Mhandisi Clement Lyoto ameahidi kukamilisha kwa wakati miradi yote wanayosimamia pamoja na kuiomba jamii kushirikiana katika kuilinda na kuitunza Miradi hiyo. 

Mhe. Mangosongo amewataka wasimamizi wa miradi kushirikisha wananchi kikamilifu katika kutekeleza miradi hiyo, ambapo amewapongeza na kuwashukuru wananchi wanaojitolea maeneo yao ili kuhakikisha jamii inanufaika.

Baadhi ya wananchi waliopata bahati ya kuhudhiria kwenye miradi hiyo wameishukuru serikali kwa kuwafikishia huduma hizo kwa karibu pamoja na kuahidi kuitunza pindi itakapo kamilika ili iweze kuwanufaisha wao na vizazi vijavyo.

" Mradi huu sisi wananchi tunautaka sana, mradi utapokamilika, maisha yetu yatakuwa mazuri sana hasa kwa sisi tunaofanya shughuli za kilimo" alisema Ahmad Bakari, mkazi wa kitongoji cha Kitundu, kijiji cha Dongo ambapo mradi wa maji wa kisima unatekelezwa.

Miradi inayotekelezwa na RUWASA wilayani Mafia ni pamoja na ujenzi wa matenki makubwa ya maji, visima na ofisi za maji. 

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KULIPIA VIWANJA May 20, 2025
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • WITO WATOLEWA KWA WATOTO WA KIKE KUPENDA MASOMO YA SAYANSI

    May 17, 2025
  • MAFIA KUUNGANISHWA NA UMEME WA GRIDI YA TAIFA

    May 16, 2025
  • WANANCHI WAASWA KUJITOKEZA KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 16, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LARIDHIA KUANZISHWA KWA MRADI WA UONGEZAJI THAMANI ZAO LA DAGAA

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

MWENGE WA UHURU WAPONGEZA VIWANGO VYA BARABARA YA MSUFINI
Tazama Video zaidi

Viungo vya haraka

  • Home
  • Photo Gallery
  • FAQ
  • Tourism
  • Investment
  • MATOKEO YA STD VII 2022

Viungo vinavyohusiana

  • OR- TAMISEMI
  • OR- Menejimenti Utumishi wa Umma
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya ajira katika Utumishi wa Umma
  • Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi
  • Wizara ya Fedha na Mipango

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kilindoni-Bomani Street

    Anuani ya posta: 85

    Simu: 0232010199

    Simu ya mkononi:

    Baruapepe: ded.mafia@pwani.go.tz / ded@mafiadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Katazo
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma namba 1
    • YOUTUBE

Copyright ©2017 Mafia District Council . All rights reserved.