• Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mafia District Council
Mafia District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Ardhi, Mipango miji na Maliasili
      • Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
        • Kitengo cha Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi na Zima Mmoto
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango na Takwimu
    • Vitengo
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Tehama
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Huduma za jamii
      • Maadili
      • Fedha, Utawala, na Mipango
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Kujua Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
      • YOUTUBE
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

ZIARA YA MHE. WAZIRI BASHUNGWA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA MAFIA

Posted on: March 22nd, 2024

             Posted on: March 22nd, 2024  

Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa (Mb) amefanya ziara ya kukagua miundombinu ya barabara katika halmashauri ya wilaya ya mafia . Akiwa ziarani Mhe. Waziri ameagiza Wakala wa Barabara

( TANROADS) kuhakikisha barabara ya Kilindoni-Rasi Mkumbi yenye urefu wa zaidi ya Kilomita 50 inakamilika kwa kiwango cha changarawe kipindi hiki ambacho Serikali inaendelea na taratibu za kumpata mkandarasi ili kujenga barabara hiyo kwa kiwango cha lami.

Bashungwa ametoa maagizo hayo Machi 22 wilayani Mafia wakati wa ziara yake ya kukagua miundombinu ya barabara ikiwemo barabara ya Kilindoni-Utende ( KM 14.6) yenye kiwango cha lami na barabara ya Kilindoni-Rasi Mkumbi (KM 54.4) ambapo Kilomita 2.2 kati ya hizo zimekamilika kwa kiwango cha lami.


" Kwa dhamira ya Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ya kuifungua Mafia, inabidi tuhakikishe kuna mawasiliano mazuri ya barabara. Wakati huu tukiendelea na taratibu za kumpata Mkandarasi kumalizia kipande kilichobaki,  TANROADS ihakikishe barabara hii inakamilika kwa kiwango cha changarawe ili iweze kutumika vizuri" alisema Bashungwa.

Aidha, amemuagiza Mtendaji Mkuu wa TANROADS kutowapatia kazi wahandisi washauri ambao wanaisababishia hasara Serikali kwa kushindwa kutekeleza wajibu wao wa kusimamia vizuri miradi.

Sambamba na ukaguzi wa miundombinu ya barabara, Waziri Bashungwa alipata nafasi ya kutembelea na kukagua kivuko cha Kilindoni ambapo alikutana na kuzungumza na wafanyakazi pamoja na wafanyabiashara ambao husafirisha mizigo yao kupitia kivuko hicho ili kuweza kujua changamoto wanazokutana nazo.

"Tuna changamoto ambazo tunazipata kutokana na mazingira ya bandari yetu, hatuna sehemu za kuhifadhia mizigo wala vitendea kazi, hivyo kusababisha hasara kwenye mali zetu. Tunaomba Serikali itusikilize na kutusaidia" alisema Mohammed,  mfanyabiashara wa Mafia.

Kufuatia kero hizo, Waziri Bashungwa alitoa maagizo kwa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) kuhakikisha wanafanya maboresho ya huduma za vivuko wilayani Mafia na kote nchini kwa ajili ya usalama wa abiria na mali zao

Matangazo

  • TANGAZO: NAFASI ZA KAZI ZA MUDA; UCHAGUZI MKUU July 02, 2025
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • VETA YATOA MAFUNZO KWA MAMA LISHE ZAIDI YA 200 WA KATA YA KILINDONI

    June 17, 2025
  • JITIHADA ZIONGEZWE KUTOKOMEZA MALARIA

    June 17, 2025
  • MARUFUKU UTOAJI WA AJIRA KWA WATOTO; AONYA DC MANGOSONGO

    June 16, 2025
  • WANANCHI WAASWA KUJALI AFYA ZAO KUEPUKA MADHARA MAKUBWA YANAYOWEZA KUTOKEA

    June 14, 2025
  • Tazama zote

Video

MWENGE WA UHURU WAPONGEZA VIWANGO VYA BARABARA YA MSUFINI
Tazama Video zaidi

Viungo vya haraka

  • Home
  • Photo Gallery
  • FAQ
  • Tourism
  • Investment
  • MATOKEO YA STD VII 2022

Viungo vinavyohusiana

  • OR- TAMISEMI
  • OR- Menejimenti Utumishi wa Umma
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya ajira katika Utumishi wa Umma
  • Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi
  • Wizara ya Fedha na Mipango

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kilindoni-Bomani Street

    Anuani ya posta: 85

    Simu: 0232010199

    Simu ya mkononi:

    Baruapepe: ded.mafia@pwani.go.tz / ded@mafiadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Katazo
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma namba 1
    • YOUTUBE

Copyright ©2017 Mafia District Council . All rights reserved.