• Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mafia District Council
Mafia District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Ardhi, Mipango miji na Maliasili
      • Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
        • Kitengo cha Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi na Zima Mmoto
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango na Takwimu
    • Vitengo
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Tehama
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Huduma za jamii
      • Maadili
      • Fedha, Utawala, na Mipango
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Kujua Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
      • YOUTUBE
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

ZIARA YA WALIMU WA SEKONDARI HIFADHI YA TAIFA NGORONGORO 29/03/2021-02/04/2021

Posted on: April 12th, 2021

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia alitoa motisha kwa walimu wote wa sekondari wa wilaya ya Mafia pamoja na watumishi waliopo ofisi ya Afisa Elimu sekondari kwenda kufanya utalii wa kutembelea hifadhi ya taifa ya Ngorongoro mkoani Arusha. Katika safari hiyo waliambatana na diwani ambaye pia ni Mwenyekiti wa huduma za kijamii Mheshimiwa Hassan M. Hassan na Bw. Silvanus Kunambi kutoka ofisi ya Katibu Tawala Mkoa wa Pwani.

Motisha hiyo waliipata baada ya kufanya kazi kubwa kwa wanafunzi waliomaliza kidato cha nne mwaka 2020 baada ya kiwango cha ufaulu kupanda na kufikia asilimia 88.9 kutoka asilimia 67 ya mwaka 2019.

Katika safari hiyo walipata pia fursa ya kutembelea shule ya sekondari Lugoba iliyopo Wilayani Chalinze na shule ya sekondari Welwel iliyopo wilayani Karatu Mkoa wa Arusha.

Wakiwa katika shule ya sekondari Welwel walipata nafasi ya kubadilishana uzoefu na walimu wenzao.

Pia walitembelea Hifadhi ya Taifa ya za wanyama Ngorongoro ambapo walipata fursa ya kutembelea familia moja ya wamasai waishio ndani ya hifadhi hiyo ambapo waliona na kujifunza mila na desturi mbalimbali za kabila la wamasai.            

Katika hifadhi hiyo ya Ngorongoro walipata bahati ya kuona wanyama wengi wakiwemo Nyati, Tembo, Vifaru, Simba, Swala na wengineo wengi.

 Walimu hao waliifurahia sana safari hiyo ambayo walisema iliwapa motisha na ari ya kufanya kazi kwa bidii za zaidi na ikiwezekana kwa mwaka wa 2021 wanafunzi wote wa kidato cha nne kufaulu kwa asilimia 100 pia walitoa shukrani kwa Mkurugenzi Mtendaji Kupitia idara ya elimu na Katibu Tawala Mkoa wa Pwani kufanikisha safari hiyo

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KULIPIA VIWANJA May 20, 2025
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • WITO WATOLEWA KWA WATOTO WA KIKE KUPENDA MASOMO YA SAYANSI

    May 17, 2025
  • MAFIA KUUNGANISHWA NA UMEME WA GRIDI YA TAIFA

    May 16, 2025
  • WANANCHI WAASWA KUJITOKEZA KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 16, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LARIDHIA KUANZISHWA KWA MRADI WA UONGEZAJI THAMANI ZAO LA DAGAA

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

MWENGE WA UHURU WAPONGEZA VIWANGO VYA BARABARA YA MSUFINI
Tazama Video zaidi

Viungo vya haraka

  • Home
  • Photo Gallery
  • FAQ
  • Tourism
  • Investment
  • MATOKEO YA STD VII 2022

Viungo vinavyohusiana

  • OR- TAMISEMI
  • OR- Menejimenti Utumishi wa Umma
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya ajira katika Utumishi wa Umma
  • Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi
  • Wizara ya Fedha na Mipango

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kilindoni-Bomani Street

    Anuani ya posta: 85

    Simu: 0232010199

    Simu ya mkononi:

    Baruapepe: ded.mafia@pwani.go.tz / ded@mafiadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Katazo
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma namba 1
    • YOUTUBE

Copyright ©2017 Mafia District Council . All rights reserved.