Posted on: April 23rd, 2024
Mkuu wa Wilaya ya Mafia, Mhe. Aziza Mangosongo, leo Aprili 23, 2024 amezindua chanjo ya Kansa ya Mlango wa Kizazi (HPV) kwa wasichana wa umri kuanzia miaka 9 hadi 14 kiwilaya katika Shule ya Sekondari...
Posted on: April 22nd, 2024
Katibu Tawala wa Mkoa wa Pwani, Rashid Mchatta ameongoza ziara ya ukaguzi wa baadhi ya miradi ya maendeleo itakayokaguliwa na Mwenge wa Uhuru kwa mwaka 2024 wilayani Mafia.
Akiwa ameambatana na...
Posted on: April 20th, 2024
Wasichana 4826 wilayani Mafia wanatarajiwa kupata chanjo ya Saratani ya Mlango wa Kizazi (HPV) itakayotolewa kuanzia tarehe 22 hadi 24 Aprili, 2024.
Kuelekea zoezi hilo, Halmashauri ya...