Posted on: March 20th, 2025
Timu ya watoa huduma ya afya leo Machi 20, 2025 imetembelea Kijiji cha Chunguruma, kilichopo kata ya Ndagoni kwa lengo la kutoa elimu kwa umma kuhusu mlipuko wa ugonjwa wa MPOX.
Elimu iliyotolewa i...
Posted on: March 18th, 2025
Kamati ya Usalama ya Mkoa wa Pwani, leo Machi 18, 2025 imefanya ziara yake ya ukaguzi wa miradi mbalimbali iliyopo wilayani Mafia kwa lengo la kufuatilia hatua za utekelezaji wa miradi hiyo.
...
Posted on: March 18th, 2025
Sheikh wa Wilaya ya Mafia, Nuhu Abubakar Swalihu, akikakabidhi futari kwa Mkuu wa Wilaya ya Mafia Mhe. Aziza Mangosongo ikiwa ni zawadi kutoka kwa Sheikh wa Mkoa wa Pwani, Abasi Mtupa.
Akipokea...