Posted on: September 25th, 2024
Taasisi ya Kalamu Education Foundation ( KEF) imetoa msaada wa Kilo 1500 za chakula ikiwemo Kilo 1000 za mchele, kilo 500 za maharage, lita 100 ya mafuta, Katoni 30 za karatasi (Rim) pamoja na ...
Posted on: September 21st, 2024
Wakazi wa Mafia wameadhimisha Siku ya Usafi Duniani kwa kusafisha fukwe katika kitongoji cha Tumbuju kilichopo kata ya Ndagoni pamoja na eneo la Soko Mjinga lililopo Kilindoni.
Zoezi hilo lim...
Posted on: September 5th, 2024
Viongozi pamoja na watumishi wilayani Mafia wamempokea Ndugu Shabani Shabani baada ya kuteuliwa kuwa Katibu Tawala wa Wilaya.
Ndugu Shabani anachukua nafasi ya Ndugu Olivanus Thomas aliyeteuliwa ku...