Posted on: October 6th, 2024
Msimamizi wa Uchaguzi Halmashauri ya Wilaya ya Mafia, Ndugu Mussa Kitungi ametoa wito kwa vyama vya siasa wilayani kuhakikisha kuwa wananchi wanajitokeza kwa wingi kujiandikisha kupiga kura pamoja na ...
Posted on: October 5th, 2024
Wananchi wilayani Mafia, leo Oktoba 5, 2024 wameungana na Uongozi wa Halmashauri, viongozi wa vyama vya siasa, watumishi, vikundi vya michezo ( jogging) pamoja na vikundi vingine katika jamii katika m...
Posted on: October 3rd, 2024
Mkuu wa Wilaya ya Mafia Mhe. Aziza Mangosongo, ametembelea kijiji cha Kibada kilochopo kata ya Baleni kwa lengo la kusikiliza kero za wananchi kwenye mkutano wa hadhara.
Akiwa ameambatana na Kamati...