Posted on: July 5th, 2022
Mkurugenzi Mtendaji (W) anawatangazia kufika kwenye USAILI wa nafasi za Watendaji Vijiji, Makatibu Mahususi na Madereva majina na tangazo vimeanbatishwa. Kwa maelezo zaidi fuata linki hii
...
Posted on: February 8th, 2022
Kikao cha baraza la wafanyakazi cha kupitia na kujadili rasimu ya bajeti ya mwaka wa fedha 2022/2023 kikiendelea katika ukumbi wa Magereza Kilindoni leo tarehe 08/02/2022
...