Posted on: February 10th, 2025
Waandishi wasaidizi na waendesha vifaa vya bayometriki wa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia leo Februari 10, 2025 wamepata mafunzo pamoja na kula kiapo cha kujitoa uanachama wa Chama cha siasa.
...
Posted on: February 7th, 2025
Maafisa Waandikishaji ngazi ya kata wametakiwa kutoa hamasa katika maeneo yao ili wananchi waweze kushiriki ipasavyo katika zoezi la uboreshaji wa taarifa katika daftari la kudumu la mpiga kura.
Ha...
Posted on: February 7th, 2025
Timu mbalimbali zimejitokeza kushiriki ligi ya wanawake ya netball inayofahamika kama " Wanawake Mafia League", iliyoandaliwa na Mkuu wa Wilaya ya Mafia Mhe. Aziza Mangosongo.
Ligi hiyo imeanza...